KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Mama Thabita Siwale, mwanasiasa mkongwe ameifariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Ocean Road alipokuwa amelazwa kwa wiki mbili akipatiwa matibabu.
Msiba uko nyumbani kwake Mikocheni Dar es Salaam.
Taarifa rasmi itafuata mara tu baada ya kikao cha wanafamilia.
Ndio nani huyo? Significance yake ni ipi kwenye ukongwe wa siasa zake?Mama Thabita Siwale, mwanasiasa mkongwe ameifariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Ocean Road alipokuwa amelazwa kwa wiki mbili akipatiwa matibabu.
Msiba uko nyumbani kwake Mikocheni Dar es Salaam.
Taarifa rasmi itafuata mara tu baada ya kikao cha wanafamilia.
Ndio nani huyo? Significance yake ni ipi kwenye ukong
Ndo nani
AminaInalilah wainailah rajiun
Lucas Mwashambwa njoo ububujikwe na machozi huku, machozi yako ni muhimu sana kwenye msiba huuBora hata lucas mwamshamba tuna mjua kwa ushamba wake alivyojipatia umaarufu
Kha! Kumbe na wewe kijana mdogo tu? Michango yako huwa inaonyesha umekua kiumri! Kama hujawahi sikia jina la huyu mama we kinda tu badoNdio nani huyo? Significance yake ni ipi kwenye ukongwe wa siasa zake?
Amewahi KUWA Waziri wizara kadhaa kwenye Serikali ya awamu ya kwanza mojawapo ikiwa wizara ya Elimu (Wakongwe tunamfahamu)Ndio nani huyo? Significance yake ni ipi kwenye ukongwe wa siasa zake?
Mbona kwenye heading neno 'TANZIA' halijapakwa rangi kama ilivyo kawaida au marehemu alikuwa na ugomvi na mamodi wa humu.Mama Thabita Siwale, mwanasiasa mkongwe ameifariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Ocean Road alipokuwa amelazwa kwa wiki mbili akipatiwa matibabu.
Msiba uko nyumbani kwake Mikocheni Dar es Salaam.
Taarifa rasmi itafuata mara tu baada ya kikao cha wanafamilia.