Tanzia: Mwanzilishi na Bosi wa Tip Top Connection, Abdul Bonge afariki dunia

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Kwa taarifa zilizotufikia ni kuwa bosi wa Tip Top Connection, Abdul Bonge ameaga dunia leo hii. Rip bonge.



Update:

 
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Taarifa zaidi zitakujia na kama kuna mtu anataarifa za ndani aweze kutujulisha

Source: clouds FM
 
Zisiwe tu za kweli jamani maana sasa hivi huu mtindo wa kuzusha hadi mtu unaogopa kusema R.I.P.
Kama ni kweli basi apumzike pema.
 
Kuna taarifa za kusikitisha juu ya kufariki kwa manager wa Tp top Connection . Mwenye ukweli atujuze
 
yeah amefariki... hata diamond ameposti hii kitu instagram

R.I.P Bonge
 
Zisiwe tu za kweli jamani maana sasa hivi huu mtindo wa kuzusha hadi mtu unaogopa kusema R.I.P.
Kama ni kweli basi apumzike pema.

Mwenzangu!social networks zimekuwa zinatumiwa isivyopaswa
 
Rip mjanja wa manzese,wote ni njia yetu wewe mbele sie nyuma.
 
Kazi yake mola haina makosa nadhani ndio wimbo ulomtambulisha madee kwa heri abdul bonge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…