TANZIA: Mwenyekiti wa Klabu ya Azam na Mjumbe wa Bodi ya Ligi Kuu, Said Mohammed amefariki dunia

TANZIA: Mwenyekiti wa Klabu ya Azam na Mjumbe wa Bodi ya Ligi Kuu, Said Mohammed amefariki dunia

Aliyekuwa mwenyekiti wa Azam FC na Makamu mwenyekiti wa Bodi ya Ligi kuu Tanzania Bara Sheikh Said Muhammad amefariki dunia leo 7 Novemba katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam.
RIP mzee wetu
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa Azam FC na Makamu mwenyekiti wa Bodi ya Ligi kuu Tanzania Bara Sheikh Said Muhammad amefariki dunia leo 7 Novemba katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam.

RIP
 
Back
Top Bottom