Aliyekuwa mwenyekiti wa Azam FC na Makamu mwenyekiti wa Bodi ya Ligi kuu Tanzania Bara Sheikh Said Muhammad amefariki dunia leo 7 Novemba katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam.
Aliyekuwa mwenyekiti wa Azam FC na Makamu mwenyekiti wa Bodi ya Ligi kuu Tanzania Bara Sheikh Said Muhammad amefariki dunia leo 7 Novemba katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam.