Mr.mzumbe
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,037
- 998
Habari zenu wanajf...
Mara kwa mara napata matangazo/taarifa za msiba kupitia hapa jf,lakini cha kushangaza mara zote zinakuwa na heading inayoanzia na TANZIA. Najiuliza maswali mengi juu ya hili lakini mara zote nakosa jibu!!!
Mara nyingi najiuliza maswali yafuayayo:-
1.hii tanzia ni moja ya forum hapa jf???
2.ni blogu nyingine tofauti na jf???
3.blogu hiyo ni kwa ajili ya misiba tu???
Leo naombeni mwenye elimu juu ya hili anisaidie kujibu/kukata kiu yangu kwenye jambo tajwa hapo juu.
Mara kwa mara napata matangazo/taarifa za msiba kupitia hapa jf,lakini cha kushangaza mara zote zinakuwa na heading inayoanzia na TANZIA. Najiuliza maswali mengi juu ya hili lakini mara zote nakosa jibu!!!
Mara nyingi najiuliza maswali yafuayayo:-
1.hii tanzia ni moja ya forum hapa jf???
2.ni blogu nyingine tofauti na jf???
3.blogu hiyo ni kwa ajili ya misiba tu???
Leo naombeni mwenye elimu juu ya hili anisaidie kujibu/kukata kiu yangu kwenye jambo tajwa hapo juu.