TANZIA:Onesmo Ngusa amefariki dunia

REMSA

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
2,579
Reaction score
956
Aliyekuwa mtangazaji wa Wapo Fm,na Praise Power ,Onesmo Ngusa amefariki usiku
wa kuamkia leo katika Hospitali ya Mwananyamala.

"Bwana alitoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe"

Souce:Wapo Radio
 
Aliyekuwa mtangazaji wa Wapo Fm,na Praise Power ,Onesmo Ngusa amefariki usiku
wa kuamkia leo katika Hospitali ya Mwananyamala.

"Bwana alitoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe"

Souce:Wapo Radio
nini tatizo jamani? ajali ama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…