TANZIA:Onesmo Ngusa amefariki dunia

TANZIA:Onesmo Ngusa amefariki dunia

REMSA

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
2,579
Reaction score
956
Aliyekuwa mtangazaji wa Wapo Fm,na Praise Power ,Onesmo Ngusa amefariki usiku
wa kuamkia leo katika Hospitali ya Mwananyamala.

"Bwana alitoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe"

Souce:Wapo Radio
 
Aliyekuwa mtangazaji wa Wapo Fm,na Praise Power ,Onesmo Ngusa amefariki usiku
wa kuamkia leo katika Hospitali ya Mwananyamala.

"Bwana alitoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe"

Souce:Wapo Radio
nini tatizo jamani? ajali ama?
 
Back
Top Bottom