Tanzia: Pole mwanamziki Hashim Dogo kwa kuondokewa na baba yako

Nimefungua macho kujikuta vitani,
Kimenuka nadhani,
Watu wameshavuta majani,
Epuka kujihami, mabom yanalipuka jirani,
Wanajuta kukuta haki haipatikani kwa amani,

Kuluta baki nyumbani, tumevuka imani,
Yani kiasi kusuka dili kujistiri gizani,
Na bendera inaendelea kupepea nusu mlingoti,
Wanajeshi na masela, mahabusu nipe ripoti,

Wanaosikia hawaskilizi wanaoskiliza hawaskii,
Machizi si miujiza tunasonga namna hii,

Umesonga BABA nasi tupo nyuma yako RIP Mzee wangu.

RIP MR. RUBANZA.
 
Mzee umetisha Sana , dogo alikuwa m'baya sana
 
Uzi umenikumbusha block 41,Indiana police,maskani ,kisha baadae Skani kwa Bango

Kitambo sana

MTC | 101| [emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…