TANZIA: Producer Joshua Magawa "Pancho Latino" wa B hitz records afariki dunia

Makaburi ya sisi waafrika yanamatatizo sana
Sijawahi kusikia ya Asia au Europe yakiwa na mauza uza

Huku mtu unakufa umeshatembelea waganga karibu 300 ni lazima kaburi lako lisumbue
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Maji mabaya sana
Mimi mpaka leo sijui kuogelea.
Mara ya kwanza kujaribu nilikua na miaka 5 nikazama mpaka leo nikiingia ziwani naishia mwanzoni maji ya kiuno tena mara moja kwa mwaka
Maji kama hujayazoea hususani sisi wa bara ni tabu sana kuogelea hasa kina kirefu.Natoa pole Kwa wafiwa wote Mungu awatie nguvu.
 
Makaburi ya sisi waafrika yanamatatizo sana
Sijawahi kusikia ya Asia au Europe yakiwa na mauza uza

Huku mtu unakufa umeshatembelea waganga karibu 300 ni lazima kaburi lako lisumbue
Lazima maana mchawi akizeeka anageuka jini
 
Mbudya ni hatari sana kule...nakumbuka kuna wakt tulienda na jamaa zangu km 3 hivi tukavuka vizuri kufika..kumbe jamaa ambae tulikia nae alikua na mashetani mara ghafla akaanza kulalamika kichwa kinauma sana..katika haraka za kurudi jamaa alianza kupiga mayowe na kutaka kuruka ndani ya maji ilikua shida ile siku...tangu siku ile sikuwahi kuwaza kurudi tena
 

Sorry, hebu nifafanulie hapa uliposema kichwa kilimuuma sana! Kwa nini kimuume kule Mbudya?? Kuna uhusiano wowote wa kichwa kuuma na Mbudya??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…