Oh! So, it's just ajali kama ajali nyingine yoyote ambayo inaweza kutokea hata kwenye swimming pool!Wala hapana danger, kuna sehemu watu hawaruhusiwi kufika na pana bango.
Ndio maana mpk leo namuheshimu sana Chid BenzHii ngoma Fiesta ,pale Sayansi K'nyama ilimnyanyua Busta Rhymes ,hakuamini macho na masikio yake ,wale waliokua VIP nadhani wanakumbuka Mzee mzima Busta alivyowehuka na hii ngoma
Ikifika siku yako hata maji ya ugoko yanaweza kukuuwa,hata glass ya maji iliyomwagwa chini,yanaweza kukutelezesha ukagonga kichwa chini chali,tunaanza kupitisha daftali la rambirambi,najaribu kukuonyesha kuwa kifo hakikwepeki,ikifika siku yako utakwenda tu,chafya inaweza kukuua,na ikikosekana sababu utafia hata usingizini,hapo hapo wavuvi wanakwenda baharini usiku kwa kutumia vyombo duni na wanarudi salama,unaskia mtu anamiaka 30 kwenye uvuv,au baharia anamiaka zaidi ya 20 anafanya kazi kwenye meli na anakuja kufa kwa maleria au uzee.Toka rafiki yangu mmoja afe maji nishaamua kwa dhati kabisa kuwa nitakuwa naogelea sehemu za watoto na mabeki tatu.
Mnicheke msinicheki mtajijua wenyewe..
Anaitwa Amani, mdogo wake Hermes.Hata mie imeniuma sana. Kuna beat moja ya Albino flani feat. Sugu &MwanaFA katisha sana. Acha hizi za Bado niponipo na Habari ndio hiyo. Dah. RIP Pancho!
Ile show Chid aliua mbayaNdio maana mpk leo namuheshimu sana Chid Benz
Ok poa poa amna noma mzeeDaah Kumbe unampata?? sema nn?? nataka niache uproducer.. ndo maana studio nimepunguza kwenda.. mwana
Hahahaaa umetisha upendo kwamba utakuwa unaogelea kwa watoto na Mabel Tatu we nomaToka rafiki yangu mmoja afe maji nishaamua kwa dhati kabisa kuwa nitakuwa naogelea sehemu za watoto na mabeki tatu.
Mnicheke msinicheki mtajijua wenyewe..
Maji sio mazuri kabisa,huwa naenda kwenye swimming pools kuangalia totoz tu huku nimekaa pembeni napiga vitu vyangu.Hahahaaa umetisha upendo kwamba utakuwa unaogelea kwa watoto na Mabel Tatu we noma
wengine wanawapeleka mbali mikifika wanawaambia muongeze hela ndio wawarudisheAiseeeee ni hatari sana kwa mwendo huo NGOMA aka Dally Kimoko haiwezi kuisha.
hahahahaHata simjui, nilijua pacho mwamba
Hapo lazime waongeze dau au wakokoliwe.wengine wanawapeleka mbali mikifika wanawaambia muongeze hela ndio wawarudishe