Mimi huyu na maji kama weweSema mimi sinaga ushkaji na maji mengi mengi, tuna beef kitambo sana. Sema kifo kama kimefika ndo hivyo tu ila ni muhimu kuchukua tahadhari.
Yes Mara ya Pili hii, Mbudya kuna seke seke sana kule bora MTU uende bongoyo tuBen pol alishawahi kunusurika hukohuko mbudya. Rip pancho.
Picha mwanzo iligoma samahani kwa hiloPicha basi wengine hatumfahamu
Kweli mkuu, ila ni muhimu kuchua tahadhari.
😀😀😀Mimi huyu na maji kama wewe
[emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
RIP bra ila picha ni muhimu afu maelezo hayatoshi mkuu
Alikuwa studio gani?
Alishiriki song zipi na zipi
Msiba uko wapi
Nk nk
Mbudya totoz na kwa bata kuzuri,ila binafsi nakushauri nenda bongoyo mie bongoyo nishaenda sana ,ila mbudya Mara moja niliyoenda nilikua mpole kisiwani nawaza kurudi tuNimekuwa nkitamani kufika kwenye hivi visiwa ambavyo vijana wengi wa Dar es Salaam wamekuwa wakienda wikiendi,hili linafanya nijifikirie mara mbili aise
Picha mwanzo hazikuweza kupanda mtandaoniNimekuja mbio nikidhani uzi umesindikizwa na kapicha
Wengine tulikuwa hatumjui kwa sura aisee
Mkuu, kwa hiyo hata kama sipo kwenye maji, kinanivutioamo au, mkuu unataka niache kwenda ufukweni.Unamjua chunusi mkuu basi ukipona kwa icho kiumbe nenda kafanye ibada
Cha ajabu tulichanga vijana kadhaa tukanunua boat ila binafsi sijawahi kwenda nayo kokote.Totoz wa Mbudya wanatoka wapi? Na wenyewe wanaenda tu kubarizi?Mbudya totoz na kwa bata kuzuri,ila binafsi nakushauri nenda bongoyo mie bongoyo nishaenda sana ,ila mbudya Mara moja niliyoenda nilikua mpole kisiwani nawaza kurudi tu
Majanga yote ni kurudi kumi na mbili ,kuna mshikaji walikumta kaweKuna mwanangu Jason alifia huko huko kubaya sana wakati wa kwenda fresh kurud sasa wanakaa adi jion hali ya hewa ina bdlikaga
RIP
Kuna rafiki yangu mmoja alisema twende huko, nikamwangalia nikamchekii..Mbudya totoz na kwa bata kuzuri,ila binafsi nakushauri nenda bongoyo mie bongoyo nishaenda sana ,ila mbudya Mara moja niliyoenda nilikua mpole kisiwani nawaza kurudi tu
Mbudya mbn watu wanaenda sana ,hz bday party huko ndio kwenyeweCha ajabu tulichanga vijana kadhaa tukanunua boat ila binafsi sijawahi kwenda nayo kokote.Totoz wa Mbudya wanatoka wapi? Na wenyewe wanaenda tu kubarizi?
Mimi muoga sana ujue[emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi huwa naenda kuangalia tu jinsi yanavyorukaruka humo na kufaidi kaupepo, basi.