Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaHe was a greater president siyo kama hawa vibaka wa Tanzania wanaoingia madarakani kwa kuiba kura.
View attachment 2196361
Ungezipata mwanzoni kabisa ungefanya nini special?Duh! Ndio nazipata hizi khabari, may his soul Rest in Peace....
Ameondoka akiwa na umri gani kwani?Apumzike kwa amani, walao watawala wa kenya wanakua na umri mrefu sana, kwenye uongozi wake alikua na vimaneno fulani hivi vya uchekeshaji
Ungezipata mwanzoni kabisa ungefanya nini special?
Kama yeye hakuiba kura,ilikuwaje mwaka 2007 Wakenya wakauana baada ya uchaguzi ?He was a greater president siyo kama hawa vibaka wa Tanzania wanaoingia madarakani kwa kuiba kura.
View attachment 2196361
Duh Kovodo 91RIP MWAI KIBAKI
Hujui historia ya hyu mzee mkuu, uchaguz wa 2007 walipora ushindi kujatokea ghasia na mauaji ya watu wengi sana,.He was a greater president siyo kama hawa vibaka wa Tanzania wanaoingia madarakani kwa kuiba kura.
View attachment 2196361
Sawa. Mimi nipo maeneo ya Bomet-Narok nitaondoka jioni kwenda msibani, njoo tujumuike.Swali nzuri sana hilo, hamna kikubwa ningekifanya zaidi ya kumtaka alazwe pema peponi, ni katika awamu yake tulipata katiba mpya.....
Hujui historia ya hyu mzee mkuu, uchaguz wa 2007 walipora ushindi kujatokea ghasia na mauaji ya watu wengi sana,.