Tanzia ya Dkt. Dau kwa rafiki yake hayati Benjamin William Mkapa

Sijui haya majibishano yanakujaje hapa. nssf ni taasisi ya umma na inahudumia umma mzima wa watzania.

Hao wafanyakaz wa hapo wanaonana uso kwa macho na hao wananchi kila siku. Watu wanaeleza walichokuwa wanakiona.

Mbona simpo tu.
Actually kilichowapa watu picha ya udini ni kukua kwa idadi ya wanaovaa visuruali vifupi na uchebe na wale wanawake wanaofunika kichwa. Hawa walikuwa wanaonekana kwa macho tu wala si kwa tochi.
 

Kwa hiyo ulitaka kwa mfano watu wa dini gani wawe wengi katika kuajiriwa?

Maana yule aliyeajiri watu A 300 na watu B 100 wewe hiyo wala haikusumbui, ila unasumbuliwa na aliyefuata!
 
Actually kilichowapa watu picha ya udini ni kukua kwa idadi ya wanaovaa visuruali vifupi na uchebe na wale wanawake wanaofunika kichwa. Hawa walikuwa wanaonekana kwa macho tu wala si kwa tochi.

Kwa hiyo ulitaka wale wenye kuvaa misalaba na wenye kunena kwa lugha waendelee kuwa wao kwa wingi zaidi pale, hapo roho yako ingekuwa baridiii, imetulia tuli au vipi?
 
Kumbe kusifia koote huku mimi nilidhani anasifia kwa kuwa marehemu Mkapa alifanya mema kwa wananchi wote kumbe sababu ya kutoa chuo kwa Waislamu,mlinzi wake kuwa muislamu, hakusikiliza majungu kuwa ni mjahidina,mara OIC. Dr Dau na rafiki yake mzee Mohamed ni wadini sana,kila kitu huanzia kwa mtazamo wa kidini.
 
Kwa hiyo ulitaka kwa mfano watu wa dini gani wawe wengi katika kuajiriwa?

Maana yule aliyeajiri watu A 300 na watu B 100 wewe hiyo wala haikusumbui, ila unasumbuliwa na aliyefuata!
Mimi nazungumzia Daktari Dau na uajiri wake. Hao waliopita kabla yake unaweza kuwaelezea wewe.
 

Angesifu jinsi Mkapa alivyosaidia vigango na Parokia ungeona siyo tatizo.

Waislamu nao ni wananchi tena ndo wa mwanzo kabisa kuunga mkono kwa wingi juhudi za kudai uhuru, wana haki ya kuwa treated fairly katika nchi yao, Kama kudai fairness ndo udini so be it!
 
Mimi nazungumzia Daktari Dau na uajiri wake. Hao waliopita kabla yake unaweza kuwaelezea wewe.

Kuzungumza speculations ni kupoteza muda. Maana tunazungumzia dhahania, ni claims tu zisizo na ushahidi.

Kama ushahidi ni kuwepo kwa waislamu NSSF, sasa ulitaka wawepo akina nani kwa mfano, Wakiristu watupu? hapo roho yako ingekuwa nyeupeee.

Ingekuwa hivyo sasa ungegeuka ungekuja na hoja kuwa "haajiriwi. mtu sababu ya dini yake bali vigezo", yaani all the time nyinyi akipata muislamu nafasi mnaweka question mark hata kama ana vigezo vyote. Ila akipata Mkristu mnaona kuwa hivyo ndivyo inavyopaswa iwe!

Acheni roho mbaya nyinyi!
 
Kwa hiyo ulitaka wale wenye kuvaa misalaba na wenye kunena kwa lugha waendelee kuwa wao kwa wingi zaidi pale, hapo roho yako ingekuwa baridiii, imetulia tuli au vipi?
Wale wanaovaa misalaba ,misalaba yao imenin'ginia nje!? Unawajuaje kama hawajavaa misalaba. Hata hao wenye visuruali vifupi na uchebe hiyo attention wamejiletea wao wenyewe. Nani angejua kama wasingekuwa wanavaa hivyo!?
 
Dau angezungumzia jinsi gani Mkapa alipambana kutokomeza ukabila na ukanda katika awamu zake zote mbili za uongozi, basi nina hakika uzi huu ungepata wachangiaji wengi ambao wangempongeza Dr Dau kwa kulizungumzia hilo la ukabila, kwa vile ndugu zetu wengi humu wanachukulia ubaguzi ni ile aina ya kabila moja kuwa wengi serikalini dhidi ya makabila mengine na hasa katika kipindi hiki ambapo kila raisi anapofanya teuzi wao hukimbilia kuangalia jina la mteuliwa, kanda anayotoka na kabila lake. Wakigundua kwamba teuzi zimeegemea kanda au kabila la alie wateuwa, basi watakuja mbio mbio humu kulalamika kwamba kanda au kabila lao linabaguliwa (hata kama hawana au hawakuwa na vigezo vya kumshawishi mteuwaji awateuwe) Na wengi wataunga mkono hoja kwamba ubaguzi umetumika katika teuzi, ila ikionekana kwamba teuzi hizo zimeegemea kwenye dini fulan kisha wale wanaohisi kubaguliwa wakileta uzi kulalamikia teuzi hizo hapa jukwaan watashambuliwa na kuambiwa kwamba ni wadini, hawana vigezo, elimu nk, mfano mzuri ni hii mada hapa tayar Dr ashaanza kushambuliwa kwa alichoandika (alichoongea) Mimi ni mkristo lakini malalamiko haya ya ndugu zetu waislam huwa yananigusa na naona kama yana ukweli ndan yake japo inaonekana nobody cares about it. Nimalizie kwa kumtakia pumziko la milele kiongozi wetu mstaafu BWM. Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa, Jina la Bwana Lihimidiwe Daima Milele Ameen
 
Nitolee roho mbaya yako hapa. Post yangu ya kwanza uliyo_quote mwisho kabisa nimeuliza " Je, wakati wa Daktari Dau, uajiri hauku_favor dini yake!? Hapo ni wapi nimetoa hukumu kuwa alipendelea dini yake!?
 

Good observation.

Wadini hasa wakiristo humu JF huwa hawataki kuzungumzia ubaguzi wa kidini katika teuzi na ajira kwa sababu hunufaika na jinsi mazoezi hayo yafanyikavyo ya kufavor watu wa dini zao!

Lakini wadini hao huwa faster sana kukemea teuzi zenye mrengo wa kikabila na kikanda.

Ni wanafiki
 
Ukitembelea segment ya History hapa Jamii forum utabaini mwandishi halisi wa post hii.
 
Apumzike kwa amani mzee Mkapa
 
Mkapa hakujali udini, ila Tanzia inaelezea udini anyway R.I.P Mzee Mkapa
 
Kwa nini unataka serikali au taasisi ya umma igharamie dini yako? Suala la wewe kwenda peponi ni lako binafsi haliwahusu wengine.
 
Mzee baba lichukuliwe ghorofa ujue wewe media zote zisiandike? Unajua Dr Dau ni balozi wa nchi 7? Kama mmemshindwa kangi lugola sidhani kama mtamuweza Dau, hivi unahisi Dr Dau na kangi nani anawafuasi wengi nyuma yake?
Mbona iliandikwa kwebye media. Mna ubishi usio na kichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…