cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kwan hapa anazungumziwa makonda? Mbona unachanganya mada, by the way sina chuki na dini yeyote mie.Kama unachukia waislamu kupewa haki nchini basi tulia, maana they are here to stay!
hapa tunacelebrate maisha ya Mkapa jinsi alivyokuwa fair
Sijakusikia ukimkemea Makonda kusema nchi hii iko chini ya kanisa!