Tapeli tapeli

Tapeli tapeli

Kelele zote hizi usikute ni vidola tu.
Kumbe mnakamulika eheheee!! ngoja nifunguwe ID yangu ya kike na Avatar ya makalio ya haja mtanasa tu,

Hakuna aliyekamulika hapa wewe.
 
Sasa kwanini msitumie njia ile ile ya kuwasiliana wakati mnaazimana hizo 'fyekeo za majani'.

Au ndio mafumbo?
 
NN i hear you big time .... it is a common game here
 
Unajifanya wa maana sana kwenye mabandiko yako wakati ukweli wa mambo wewe ni tapeli tapeli.

Hiyo tabia ni mbaya sana kwa sababu mwisho wa utapeli ni aibu.

Watu wanakusaidia kwa nia njema kabisa kumbe wewe moyoni unawaona hawana maana. Unajiliza liza una shida, unaomba msaada. Msaada unapewa, baadaye unajifanya mjanja na kuingia mitini na mali za watu.

Hivi mama yako hakukupa mafundisho ya maadili mema wewe? Sasa limebumbuluka na utakiona cha mtema kuni.

Amekula hajalipa nini????

Duuuuuh noma kweli utapeli!!!
 
Hii vitu imekuwa too much.... Itafika mahari kilamtu atakufa kivyake vyake
 
mwee...wengine tumetapeliwa mapenzi.....tumeahidiwa ndoa....tumeingizwa mjini.....sina hamu.....
Mbona nimeambiwa wewe ndo umefanya utapeli mpaka kijana wa watu kaingia mitini?
 
Kwani hua inakuaje mpaka inafikia hatua unamuamini mtu uliyekutana nae kwenye mtandao jamani??
 
Back
Top Bottom