Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa ndugu yangu Andazi,Kunywa chai sio kuwaza mapenzi tu na hela huna
penzi la kweli ni mkono wako tusasa ndugu yangu Andazi,
isije ikawa ni utapeli tu kwamba ati umekunywa chai wakati hujanywa ...
mie nakunywaje chai na sina hela 🤣
hii mimi kwa leo naona napiga deshi tu maana mpaka mida hii sielewi🐒
mimi nitapeli wa mapenziAu ni kwa vile hakupendi ndio sasa anakuwa tapeli?
Unamjuaje tapeli kwa mfano, ili kuepuka utapeli kwenye mapenzi ya watu wazima wenye akili timamu.