Tar 1 hadi tar 25: sadaka 400,000 chakula 500,000.

Tar 1 hadi tar 25: sadaka 400,000 chakula 500,000.

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Huwa naandika kila cent nitakayoitumia. Mpaka sasa tangu tar 1, nimetumia Tsh 1,191,200. Kwenye personal issue. Sadaka inahusisha ndugu jamaa na marafiki.
1000002441.jpg
 
Expense Tracker app Niko nayo kama akiba pia. Kibongo bongo watu hutumia tu bila hesabu, kinachokuja akilini muda huo huo ndo hela inapotolewa. Kimbembe ni pale hesabu zisipo balance, una milioni Tano lakini kwenye kitabu una milioni nne na nusu, hiyo laki Tano Iko wapi?, ndivyo utajua hatupo makini.
 
Back
Top Bottom