Tarafa ya Pawaga inazalisha mchele bora Tanzania

Tarafa ya Pawaga inazalisha mchele bora Tanzania

mansoorsaid

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2014
Posts
1,498
Reaction score
286
Pawaga ni tarafa ipo Iringa vijijini, inazalisha mchele ulio bora na radha nzuri kuliko popote Tanzania. Nimetumia mchele kanda ya ziwa, Morogoro, Manyala, Kyela na Rudewa ila sijaona mzuri kama wa Pawaga.
 
Back
Top Bottom