Taratibu inaanza kuwa kawaida kuwa na picha za wanasaisa kwenye jezi za timu, mwisho timu zitakuwa kama vikundi vya wanasesere kwa wanasiasa

Taratibu inaanza kuwa kawaida kuwa na picha za wanasaisa kwenye jezi za timu, mwisho timu zitakuwa kama vikundi vya wanasesere kwa wanasiasa

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Naona tunazidi kuingiza siasa kwenye michezo, mwisho timu hizi za mpira zitakuwa hazina tofauti na wasanii wanaotumiwa kutumbuiza na kuimba mapambio kwaajili ya wanasiasa.

yanga.jpg

TFF kwanini maacha haya yatokee? Wanachi wameshapoteza mzuka kwenye timu ya taifa sababu ya hili hili halafu mnaacha yaingie na kwenye timu ili soka bongo life! Maana huku tunaelekea kufungiwa.

yangaa.jpg
 
Hahahahha ila inatakiwa tufungiwe hata miaka miwili na FIFA huenda Akili zikatukaa
 
Wakuu,

Naona tunazidi kuingiza siasa kwenye michezo, mwisho timu hizi za mpira zitakuwa hazina tofauti na wasanii wanaotumiwa kutumbuiza na kuimba mapambio kwaajili ya wanasiasa.


TFF kwanini maacha haya yatokee? Wanachi wameshapoteza mzuka kwenye timu ya taifa sababu ya hili hili halafu mnaacha yaingie na kwenye timu ili soka bongo life! Maana huku tunaelekea kufungiwa.

Fursa fursana
 
Ji inchi la hovyo mambo ya kipuuzi kila kona, ujinga mtupu siasa kwenye michezo, upuuzi nchi yenye team zinazokaribisha ujinga
 
Nakaribia kustaafu ushabiki aisee...naona akili za TFF ni sawq na CCM...wanapanga wao wanaemtaka...
 
Huu ni ujinga wa ajabu sana yani akipatikana mtu tu wa kuchukua hizo picha na kuandika maelezo,ushahidi na vielelezo vizuri vikapelekwa Fifa basi tumekwisha.
 
Yote haya ni huyo waziri akivaa likamptula anakuwa kama mama ntilie anayeuza wali maharage.
 
Back
Top Bottom