Taratibu inaanza kuwa kawaida kuwa na picha za wanasaisa kwenye jezi za timu, mwisho timu zitakuwa kama vikundi vya wanasesere kwa wanasiasa

Wameona mpira una mashabiki wengi so hawataki kuchukulia huo mtaji for granted japo kiukweli mpira unatakiwa uwe mpira na siasa iwe tu siasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…