Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Kubeza elimu ni ushamba na mlengo wa kisiasa ,kama mtu alikuwa kipanga basi ni kipawa chake wala hakuna uhusiano na maisha magumu...Kubeza elimu ni sawa na kuharibu vizazi vinavyokuja.
Elimu itabaki kuwa vile vile ishu .....Hapa kwa undani zaidi inachangiwa na kupoteza ile hali ya watu kujisifu maana kila kona kuna wasomi kwa sio kama zamani.
Hao wenzetu wakikutana na wazungu siku kadhaa basi wanaona Tanzania ni takataka na kejeli zao za kishamba ila wameanzia huku.
Tuache hayo ,vipanga wengi kama wote wana maisha safi kabisa msidanganywe kabisa ..
Elimu itabaki kuwa vile vile ishu .....Hapa kwa undani zaidi inachangiwa na kupoteza ile hali ya watu kujisifu maana kila kona kuna wasomi kwa sio kama zamani.
Hao wenzetu wakikutana na wazungu siku kadhaa basi wanaona Tanzania ni takataka na kejeli zao za kishamba ila wameanzia huku.
Tuache hayo ,vipanga wengi kama wote wana maisha safi kabisa msidanganywe kabisa ..