Taratibu taratibu mama zetu na dada zetu wanaanza kuelewa thamani ya ngozi zao

Taratibu taratibu mama zetu na dada zetu wanaanza kuelewa thamani ya ngozi zao

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
4,051
Reaction score
12,954
Kadri siku zinavyoenda taratibu taratibu wakawake wa kiafrika wanaanza kuelewa thamani ya rangi ya ngozi zao.

Siku hizi ile kasi ya wanawake ku-bleach ama wanaita kukrimu rangi ya ngozi zao waonekane weupe inapungua ama inaelekea kuisha kabisa. Sasa wanawake wanajikubali kwamba ngozi yao nyeusi haina shida yoyote.

Ni matumaini yangu kwamba itafika wakati wataelewa pia kwamba wao ni warembo bila kuvaa haya manyuzi ya makatani wanayoita weaving sijui wigs.
 
Unajidanganya

Unaijua biashara yenye hela na ya uhakika kariakoo?

Ni ya Vipako kutoka Africa ya Kati, ni vile tu TBS wanabana
Lakini ni biashara tamu sana , bidhaa zinauzika kwa wepesi kuliko mafuta ya Dubai na Ulaya.
 
Kadri siku zinavyoenda taratibu taratibu wakawake wa kiafrika wanaanza kuelewa thamani ya rangi ya ngozi zao.

Siku hizi ile kasi ya wanawake ku-bleach ama wanaita kukrimu rangi ya ngozi zao waonekane weupe inapungua ama inaelekea kuisha kabisa. Sasa wanawake wanajikubali kwamba ngozi yao nyeusi haina shida yoyote.

Ni matumaini yangu kwamba itafika wakati wataelewa pia kwamba wao ni warembo bila kuvaa haya manyuzi ya makatani wanayoita weaving sijui wigs.
Wafadhili wamebuma kwani hata bia zimewashinda kununua, baa zimebaki nyeupe na mabaamedi wamesepa, mmoja nilimkuta Tandahimba ndani ndani, sikumtambua ila yeye alinitambua.
 
wametumia mpaka wamechoka, sasa wameanza kukata tamaa na kujikubali walivyo.
 
Back
Top Bottom