Taratibu tuelewane: Bashiru anaposema kutumia Dola kushika Dola anamaanisha haya...

Taratibu tuelewane: Bashiru anaposema kutumia Dola kushika Dola anamaanisha haya...

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
KUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU

Magoiga SN

Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali yenye mamlaka na wajibu kwa watu wake walioichagua.

Kosa wanalofanya wengi wakisikia neno dola wanatengeneza tafsiri moja ya vyombo vya dola (Yaani vyombo vya ulinzi na usalama) UNAPOSEMA tuchagueni ili tushike dola tuwaletee maendeleo ni sawa na kusema, tuchagueni tushike serikali ili tuwaletee maendeleo. Vyombo vya dola vipo vingi sana siyo vya ulinzi na usalama pekee, hata mahakama ni chombo cha dola kinachotumika kutafsiri sheria na kutoa haki

Chama kilichoshika dola yaani chama kilichounda serikali kikiitumia dola vizuri kitafanikiwa ktk haya yafuatayo ;

i) Kitawaletea wananchi maendeleo ktk nyanja mbalimbali kwa kuunda wizara imara za kutekeleza mpango ya maendeleo na kuhakikisha uwepo wa fedha kugharimia miradi ya maendeleo,

ii) Kitadumisha ulinzi na usalama ndani ya nchi na kulinda mipaka yake kwa kuunda vyombo madhubuti vya ulinzi na usalama ,

iii) Kitahakikisha kila mtu anaheshimiwa utu wake kwa kujenga vyombo vya kutoa haki kama mahakama na mabaraza kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki yake

iv) Chama kitatumia dola , kuhakikisha huduma za jamii kama afya, elimu, miundombinu ya barabara na mengineyo yanawafikia wanachi ili kuwapunguzia kero ktk nyanja hizo nk nk. Fedha ambazo serikali ya CCM inatumia kujenga mahospitali, mashule, reli ya kisasa, madaraja nk ni mfano wa jinsi chama kinavyotumia dola/serikali ktk kuwahudumia wananchi na hivyo kujijengea jina na uaminifu wa kuchaguliwa tena

Kwahiyo chama kilichochaguliwa na kikaunda serikali kinakuwa kimepata jukwaa la kuwatumikia watanzania wote moja kwa moja ktk nyanja zote za kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wake, kikifanikiwa kutatua matatizo kwa kiwango kinachoridhisha wananchi huweza tena kukichaguja chamma hicho hicho.

Kwahiyo chama kama CCM kina kitu cha kuwaonyesha watu kuwa nimefanya hiki na hiki na mkituchagua tena tutafanya hiki na hiki au kumalizia hiki na hiki maana ndicho chama kilichounda dola /serikali, lakini vyama vingine ambavyo havijawahi kuaminiwa na wananchi na kuruhusiwa kushika dola huwa wanajinadi kwa kusema mkitupa tutafanya lakini hawana cha kuonyesha kama mfano maana vyote vilivyopo vipo kwasababu ya chama kingine kilichounda serikali.

Bashiru hajasema atatumia jeshi la polisi au vyombo vya ulinzi na usalama kushinda uchaguzi.

Tatizo la Bashiru huwa akiongea hudhani kila anayeongea nae ana uelewa wa kuelewa alichokisema bila kufafanuliwa kwa lugha ya darasa la kwanza.

Naitwa Magoiga SN
 
Hii ndio tafsiri sahihi kabisa isio na chenga,tatizo upotoshaji ni mwingi sana mitandaoni
Na hata ukisikiliza clip ya maelezo yake ndivyo alivyosema ,tatizo wapotoshaji.wananyakua maneno machache kwa manufaa yao ili kumpaka matope
 
Acheni kutuletea na vimakala vyenu vya kimatacor!

Mmeshaongea,tulishaelewa!

Hizi stori mnazotuletea hapa katikati sijui mavi hivi mara mavi vile,keep them for yourself!

Sijui mnatuonaje aisee!

Mnatuona hatuna akili ya kujua kauli?

Sad enough sio kauli tu,vitendo tangu 2015 mpaka leo,vina prove all this nonsense!

Mmefanya kutoa kauli kudhibitisha whats has been happening for centuries!
 
Kauli za wanasiasa zinatakiwa zitolewe kwenye lugha nyepesi sana kutokana na aina ya watu wanaowaongoza, kilichoandikwa kwenye uzi huu ni mtu mwenye uelewa ndo anaweza kuitafsiri kama uzi unavyojieleza, vinginevyo utatafsiriwa kama wengi walivyoutafsiri kutokana na serikali kupenda kutumia neno vyombo vya dola tofauti na maana yake halisi.

Hizo namba i mpaka iv ndio alitakiwa aseme kwamba kama chama kikishika dola na kufanya i mpaka iv ni ngumu kutoka madarakani lakini yeye amezungumza utasema anatoa mhadhara kwa wanafunzi wa chuo kikuu wakati wananchi wengi ni wa darasa 7B na hata kama wanauelewa bado kauli yake imekaa kiutata sana kutokana na jinsi alivyokuwa anaisisitiza
 
Mambo ya Physics hayo jamani,
"Body in Motion Stays in Motion, While Body................"
Bashiru ni Mwanasiasa kwa taaluma anachosema ndicho haki kinafanyika, wengi hatuwezi kumwelewa kamwe, maana tumezoea ulaghai.
 
KUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU

Magoiga SN

Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali yenye mamlaka na wajibu kwa watu wake walioichagua.

Kosa wanalofanya wengi wakisikia neno dola wanatengeneza tafsiri moja ya vyombo vya dola (Yaani vyombo vya ulinzi na usalama) UNAPOSEMA tuchagueni ili tushike dola tuwaletee maendeleo ni sawa na kusema, tuchagueni tushike serikali ili tuwaletee maendeleo. Vyombo vya dola vipo vingi sana siyo vya ulinzi na usalama pekee, hata mahakama ni chombo cha dola kinachotumika kutafsiri sheria na kutoa haki

Chama kilichoshika dola yaani chama kilichounda serikali kikiitumia dola vizuri kitafanikiwa ktk haya yafuatayo ;

i) Kitawaletea wananchi maendeleo ktk nyanja mbalimbali kwa kuunda wizara imara za kutekeleza mpango ya maendeleo na kuhakikisha uwepo wa fedha kugharimia miradi ya maendeleo,

ii) Kitadumisha ulinzi na usalama ndani ya nchi na kulinda mipaka yake kwa kuunda vyombo madhubuti vya ulinzi na usalama ,

iii) Kitahakikisha kila mtu anaheshimiwa utu wake kwa kujenga vyombo vya kutoa haki kama mahakama na mabaraza kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki yake

iv) Chama kitatumia dola , kuhakikisha huduma za jamii kama afya, elimu, miundombinu ya barabara na mengineyo yanawafikia wanachi ili kuwapunguzia kero ktk nyanja hizo nk nk. Fedha ambazo serikali ya CCM inatumia kujenga mahospitali, mashule, reli ya kisasa, madaraja nk ni mfano wa jinsi chama kinavyotumia dola/serikali ktk kuwahudumia wananchi na hivyo kujijengea jina na uaminifu wa kuchaguliwa tena

Kwahiyo chama kilichochaguliwa na kikaunda serikali kinakuwa kimepata jukwaa la kuwatumikia watanzania wote moja kwa moja ktk nyanja zote za kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wake, kikifanikiwa kutatua matatizo kwa kiwango kinachoridhisha wananchi huweza tena kukichaguja chamma hicho hicho.

Kwahiyo chama kama CCM kina kitu cha kuwaonyesha watu kuwa nimefanya hiki na hiki na mkituchagua tena tutafanya hiki na hiki au kumalizia hiki na hiki maana ndicho chama kilichounda dola /serikali, lakini vyama vingine ambavyo havijawahi kuaminiwa na wananchi na kuruhusiwa kushika dola huwa wanajinadi kwa kusema mkitupa tutafanya lakini hawana cha kuonyesha kama mfano maana vyote vilivyopo vipo kwasababu ya chama kingine kilichounda serikali.

Bashiru hajasema atatumia jeshi la polisi au vyombo vya ulinzi na usalama kushinda uchaguzi.

Tatizo la Bashiru huwa akiongea hudhani kila anayeongea nae ana uelewa wa kuelewa alichokisema bila kufafanuliwa kwa lugha ya darasa la kwanza.

Naitwa Magoiga SN
Hiyo ndo maana halisi.
Lakini hao BAVICHA kama kawaida yao ku twist maneno na kutoa tafsiri za kiufipa ufipa!
Chama chochote kikishika dola kina advantage kama ilivyoelezwa. Ndiyo maana akasema hata CHADEMA ikishika dola ni ngumu kuiondoa.
 
Hii ndio tafsiri sahihi kabisa isio na chenga,tatizo upotoshaji ni mwingi sana mitandaoni
Na hata ukisikiliza clip ya maelezo yake ndivyo alivyosema ,tatizo wapotoshaji.wananyakua maneno machache kwa manufaa yao ili kumpaka matope

Kwa hiyo unaamini tuna uelewa mdogo sana kiasi kwamba hatuwezi kuelewa jambo mtu akisema? Tueche hizo tafsiri, kwani katika uhalisia hatuoni kinachofanywa na vyombo vya dola kuibeba ccm? Alichokisema Bashiru kimeeleweka, na ndio kinachotendeka hata sasa fullstop.
 
KUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU

Magoiga SN

Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali yenye mamlaka na wajibu kwa watu wake walioichagua.

Kosa wanalofanya wengi wakisikia neno dola wanatengeneza tafsiri moja ya vyombo vya dola (Yaani vyombo vya ulinzi na usalama) UNAPOSEMA tuchagueni ili tushike dola tuwaletee maendeleo ni sawa na kusema, tuchagueni tushike serikali ili tuwaletee maendeleo. Vyombo vya dola vipo vingi sana siyo vya ulinzi na usalama pekee, hata mahakama ni chombo cha dola kinachotumika kutafsiri sheria na kutoa haki

Chama kilichoshika dola yaani chama kilichounda serikali kikiitumia dola vizuri kitafanikiwa ktk haya yafuatayo ;

i) Kitawaletea wananchi maendeleo ktk nyanja mbalimbali kwa kuunda wizara imara za kutekeleza mpango ya maendeleo na kuhakikisha uwepo wa fedha kugharimia miradi ya maendeleo,

ii) Kitadumisha ulinzi na usalama ndani ya nchi na kulinda mipaka yake kwa kuunda vyombo madhubuti vya ulinzi na usalama ,

iii) Kitahakikisha kila mtu anaheshimiwa utu wake kwa kujenga vyombo vya kutoa haki kama mahakama na mabaraza kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki yake

iv) Chama kitatumia dola , kuhakikisha huduma za jamii kama afya, elimu, miundombinu ya barabara na mengineyo yanawafikia wanachi ili kuwapunguzia kero ktk nyanja hizo nk nk. Fedha ambazo serikali ya CCM inatumia kujenga mahospitali, mashule, reli ya kisasa, madaraja nk ni mfano wa jinsi chama kinavyotumia dola/serikali ktk kuwahudumia wananchi na hivyo kujijengea jina na uaminifu wa kuchaguliwa tena

Kwahiyo chama kilichochaguliwa na kikaunda serikali kinakuwa kimepata jukwaa la kuwatumikia watanzania wote moja kwa moja ktk nyanja zote za kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wake, kikifanikiwa kutatua matatizo kwa kiwango kinachoridhisha wananchi huweza tena kukichaguja chamma hicho hicho.

Kwahiyo chama kama CCM kina kitu cha kuwaonyesha watu kuwa nimefanya hiki na hiki na mkituchagua tena tutafanya hiki na hiki au kumalizia hiki na hiki maana ndicho chama kilichounda dola /serikali, lakini vyama vingine ambavyo havijawahi kuaminiwa na wananchi na kuruhusiwa kushika dola huwa wanajinadi kwa kusema mkitupa tutafanya lakini hawana cha kuonyesha kama mfano maana vyote vilivyopo vipo kwasababu ya chama kingine kilichounda serikali.

Bashiru hajasema atatumia jeshi la polisi au vyombo vya ulinzi na usalama kushinda uchaguzi.

Tatizo la Bashiru huwa akiongea hudhani kila anayeongea nae ana uelewa wa kuelewa alichokisema bila kufafanuliwa kwa lugha ya darasa la kwanza.

Naitwa Magoiga SN
La kuvunda halina ubani. Ukweli umesemwa CCM ni genge la watu wachache wasiojiamini walioamua kutumia mabavu ya dola kutawala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanahusianisha hoja au mada na mazingira ni sahihi kwa maelezo hayo uliyotoa lakini pia ni sahihi zaidi kwa tafsiri inayotolewa na wengi mitandaoni hasa ukipeleka hoja kiuhalisia katika mazingira CCM SASA WATAITUMIA DOLA VIBAYA SANA Kwa manufaa yao binafsi na si NCHI na uzuri ni kwamba ccm iko nyuma ya wakati sana ni mzee wa miaka 90 anaukataa uzee na kujidai kijana
 
KUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU

Magoiga SN

Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali yenye mamlaka na wajibu kwa watu wake walioichagua.

Kosa wanalofanya wengi wakisikia neno dola wanatengeneza tafsiri moja ya vyombo vya dola (Yaani vyombo vya ulinzi na usalama) UNAPOSEMA tuchagueni ili tushike dola tuwaletee maendeleo ni sawa na kusema, tuchagueni tushike serikali ili tuwaletee maendeleo. Vyombo vya dola vipo vingi sana siyo vya ulinzi na usalama pekee, hata mahakama ni chombo cha dola kinachotumika kutafsiri sheria na kutoa haki

Chama kilichoshika dola yaani chama kilichounda serikali kikiitumia dola vizuri kitafanikiwa ktk haya yafuatayo ;

i) Kitawaletea wananchi maendeleo ktk nyanja mbalimbali kwa kuunda wizara imara za kutekeleza mpango ya maendeleo na kuhakikisha uwepo wa fedha kugharimia miradi ya maendeleo,

ii) Kitadumisha ulinzi na usalama ndani ya nchi na kulinda mipaka yake kwa kuunda vyombo madhubuti vya ulinzi na usalama ,

iii) Kitahakikisha kila mtu anaheshimiwa utu wake kwa kujenga vyombo vya kutoa haki kama mahakama na mabaraza kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki yake

iv) Chama kitatumia dola , kuhakikisha huduma za jamii kama afya, elimu, miundombinu ya barabara na mengineyo yanawafikia wanachi ili kuwapunguzia kero ktk nyanja hizo nk nk. Fedha ambazo serikali ya CCM inatumia kujenga mahospitali, mashule, reli ya kisasa, madaraja nk ni mfano wa jinsi chama kinavyotumia dola/serikali ktk kuwahudumia wananchi na hivyo kujijengea jina na uaminifu wa kuchaguliwa tena

Kwahiyo chama kilichochaguliwa na kikaunda serikali kinakuwa kimepata jukwaa la kuwatumikia watanzania wote moja kwa moja ktk nyanja zote za kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wake, kikifanikiwa kutatua matatizo kwa kiwango kinachoridhisha wananchi huweza tena kukichaguja chamma hicho hicho.

Kwahiyo chama kama CCM kina kitu cha kuwaonyesha watu kuwa nimefanya hiki na hiki na mkituchagua tena tutafanya hiki na hiki au kumalizia hiki na hiki maana ndicho chama kilichounda dola /serikali, lakini vyama vingine ambavyo havijawahi kuaminiwa na wananchi na kuruhusiwa kushika dola huwa wanajinadi kwa kusema mkitupa tutafanya lakini hawana cha kuonyesha kama mfano maana vyote vilivyopo vipo kwasababu ya chama kingine kilichounda serikali.

Bashiru hajasema atatumia jeshi la polisi au vyombo vya ulinzi na usalama kushinda uchaguzi.

Tatizo la Bashiru huwa akiongea hudhani kila anayeongea nae ana uelewa wa kuelewa alichokisema bila kufafanuliwa kwa lugha ya darasa la kwanza.

Naitwa Magoiga SN
Hakika wewe una sifuri shuleni, yaani dola unafananisha na serikali.Hujui tofauti ya 'STATE NA GOVERNMENT' kisha hujui tofauti ya STATE POWER NA ORGANS OF STATE.

Shuleni mlienda kujifunza ujinga tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umegundua Bashiru kachemka kuvujisha siri!! Sasa unatumia fasihi kumtetea kuwatoa watu relini? Dola aliyokusudia Bashiru ni vyote ikiwa ni pamoja na majeshi yote nchini. Hapa alishakosea kuzungumza hivyo na maneno ukishazungumza hayarudishiki tena mdomoni. Koma kutupumbaza wewe nyau!!
 
KUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU

Magoiga SN

Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali yenye mamlaka na wajibu kwa watu wake walioichagua.

Kosa wanalofanya wengi wakisikia neno dola wanatengeneza tafsiri moja ya vyombo vya dola (Yaani vyombo vya ulinzi na usalama) UNAPOSEMA tuchagueni ili tushike dola tuwaletee maendeleo ni sawa na kusema, tuchagueni tushike serikali ili tuwaletee maendeleo. Vyombo vya dola vipo vingi sana siyo vya ulinzi na usalama pekee, hata mahakama ni chombo cha dola kinachotumika kutafsiri sheria na kutoa haki

Chama kilichoshika dola yaani chama kilichounda serikali kikiitumia dola vizuri kitafanikiwa ktk haya yafuatayo ;

i) Kitawaletea wananchi maendeleo ktk nyanja mbalimbali kwa kuunda wizara imara za kutekeleza mpango ya maendeleo na kuhakikisha uwepo wa fedha kugharimia miradi ya maendeleo,

ii) Kitadumisha ulinzi na usalama ndani ya nchi na kulinda mipaka yake kwa kuunda vyombo madhubuti vya ulinzi na usalama ,

iii) Kitahakikisha kila mtu anaheshimiwa utu wake kwa kujenga vyombo vya kutoa haki kama mahakama na mabaraza kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki yake

iv) Chama kitatumia dola , kuhakikisha huduma za jamii kama afya, elimu, miundombinu ya barabara na mengineyo yanawafikia wanachi ili kuwapunguzia kero ktk nyanja hizo nk nk. Fedha ambazo serikali ya CCM inatumia kujenga mahospitali, mashule, reli ya kisasa, madaraja nk ni mfano wa jinsi chama kinavyotumia dola/serikali ktk kuwahudumia wananchi na hivyo kujijengea jina na uaminifu wa kuchaguliwa tena

Kwahiyo chama kilichochaguliwa na kikaunda serikali kinakuwa kimepata jukwaa la kuwatumikia watanzania wote moja kwa moja ktk nyanja zote za kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wake, kikifanikiwa kutatua matatizo kwa kiwango kinachoridhisha wananchi huweza tena kukichaguja chamma hicho hicho.

Kwahiyo chama kama CCM kina kitu cha kuwaonyesha watu kuwa nimefanya hiki na hiki na mkituchagua tena tutafanya hiki na hiki au kumalizia hiki na hiki maana ndicho chama kilichounda dola /serikali, lakini vyama vingine ambavyo havijawahi kuaminiwa na wananchi na kuruhusiwa kushika dola huwa wanajinadi kwa kusema mkitupa tutafanya lakini hawana cha kuonyesha kama mfano maana vyote vilivyopo vipo kwasababu ya chama kingine kilichounda serikali.

Bashiru hajasema atatumia jeshi la polisi au vyombo vya ulinzi na usalama kushinda uchaguzi.

Tatizo la Bashiru huwa akiongea hudhani kila anayeongea nae ana uelewa wa kuelewa alichokisema bila kufafanuliwa kwa lugha ya darasa la kwanza.

Naitwa Magoiga SN
Kwamba wewe ndo una akili ya kumwelewa Ally kuliko watanzania wote? Au kwamba wewe ndio unaweza kujieleza kwa ufasaha zaidi kuliko bashiru mwenyewe?. Acheni ujinga. Hata polepole aliwahi kuropoka kwamba "uchaguzi ukiwa huru na wa haki CCM ijiandae kukabidhi madaraka". Bashiru anaropoka uhalisia. Inchi nzima wapinzani wanazuiwa kukutana wakati ccm wanakutana bila shida yoyote
 
Kauli za wanasiasa zinatakiwa zitolewe kwenye lugha nyepesi sana kutokana na aina ya watu wanaowaongoza, kilichoandikwa kwenye uzi huu ni mtu mwenye uelewa ndo anaweza kuitafsiri kama uzi unavyojieleza, vinginevyo utatafsiriwa kama wengi walivyoutafsiri kutokana na serikali kupenda kutumia neno vyombo vya dola tofauti na maana yake halisi.

Hizo namba i mpaka iv ndio alitakiwa aseme kwamba kama chama kikishika dola na kufanya i mpaka iv ni ngumu kutoka madarakani lakini yeye amezungumza utasema anatoa mhadhara kwa wanafunzi wa chuo kikuu wakati wananchi wengi ni wa darasa 7B na hata kama wanauelewa bado kauli yake imekaa kiutata sana kutokana na jinsi alivyokuwa anaisisitiza
Still alicho andika haki make sense at all ukiangalia matukio mengi. Mfano presdaa ambaye ni mwenyekiti wake aliwi waambia wakurugenz kwamba " nikuteue Mimi, gari nikupe Mimi, nikuripe mshahara kisha umtangaze mpinzani" huoni haya ya bashiru ni ufafanuzi tu na mwendelezo wa kauli za mwenyekiti wake wa ccm?
 
Back
Top Bottom