GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,013
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni elimu na uelewa wenu wafuasi wa upinzani.Acheni kujieleta na vimakala vyenu vya kimatacor!
Mmeshaongea,tulishaelewa!
Hizi stori mnazotuletea hapa katikati sijui mavi mara mavi yale,keep them for yourself!
Sijui mnatuonaje aisee!
Mnatuona hatuna akili ya kujua kauli?
Sad enough sio kauli tu,vitendo tangu 2015 mpaka leo,vina prove all this nonsense!
Mmafanya kutoa kauli kudhibitisha whats has been happening for centuries!
One day such declaration will operate upsideKUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU
Magoiga SN
Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali yenye mamlaka na wajibu kwa watu wake walioichagua.
Kosa wanalofanya wengi wakisikia neno dola wanatengeneza tafsiri moja ya vyombo vya dola (Yaani vyombo vya ulinzi na usalama) UNAPOSEMA tuchagueni ili tushike dola tuwaletee maendeleo ni sawa na kusema, tuchagueni tushike serikali ili tuwaletee maendeleo. Vyombo vya dola vipo vingi sana siyo vya ulinzi na usalama pekee, hata mahakama ni chombo cha dola kinachotumika kutafsiri sheria na kutoa haki
Chama kilichoshika dola yaani chama kilichounda serikali kikiitumia dola vizuri kitafanikiwa ktk haya yafuatayo ;
i) Kitawaletea wananchi maendeleo ktk nyanja mbalimbali kwa kuunda wizara imara za kutekeleza mpango ya maendeleo na kuhakikisha uwepo wa fedha kugharimia miradi ya maendeleo,
ii) Kitadumisha ulinzi na usalama ndani ya nchi na kulinda mipaka yake kwa kuunda vyombo madhubuti vya ulinzi na usalama ,
iii) Kitahakikisha kila mtu anaheshimiwa utu wake kwa kujenga vyombo vya kutoa haki kama mahakama na mabaraza kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki yake
iv) Chama kitatumia dola , kuhakikisha huduma za jamii kama afya, elimu, miundombinu ya barabara na mengineyo yanawafikia wanachi ili kuwapunguzia kero ktk nyanja hizo nk nk. Fedha ambazo serikali ya CCM inatumia kujenga mahospitali, mashule, reli ya kisasa, madaraja nk ni mfano wa jinsi chama kinavyotumia dola/serikali ktk kuwahudumia wananchi na hivyo kujijengea jina na uaminifu wa kuchaguliwa tena
Kwahiyo chama kilichochaguliwa na kikaunda serikali kinakuwa kimepata jukwaa la kuwatumikia watanzania wote moja kwa moja ktk nyanja zote za kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wake, kikifanikiwa kutatua matatizo kwa kiwango kinachoridhisha wananchi huweza tena kukichaguja chamma hicho hicho.
Kwahiyo chama kama CCM kina kitu cha kuwaonyesha watu kuwa nimefanya hiki na hiki na mkituchagua tena tutafanya hiki na hiki au kumalizia hiki na hiki maana ndicho chama kilichounda dola /serikali, lakini vyama vingine ambavyo havijawahi kuaminiwa na wananchi na kuruhusiwa kushika dola huwa wanajinadi kwa kusema mkitupa tutafanya lakini hawana cha kuonyesha kama mfano maana vyote vilivyopo vipo kwasababu ya chama kingine kilichounda serikali.
Bashiru hajasema atatumia jeshi la polisi au vyombo vya ulinzi na usalama kushinda uchaguzi.
Tatizo la Bashiru huwa akiongea hudhani kila anayeongea nae ana uelewa wa kuelewa alichokisema bila kufafanuliwa kwa lugha ya darasa la kwanza.
Naitwa Magoiga SN
Tatizo ni elimu na uelewa wenu wafuasi wa upinzani.
Mnataka kulisha watu matango.
Wafuasi na aina ya wachangiaji kama wewe ni janga la kitaifa.
Ni kama vile mnataka kuleta vurugu ili mfanye looting
Aibu kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mleta mada, kama siyo yeye basi ni ndugu yake. Aligombea ubunge nyamagana. Akaanguka, baadaye ndiyo wale makada waliozawadiwa "ukurugenzi" na ndani ya miaka miwili alipewa ujaji . Sasa mtu kama huyu yuko mahakamani , unategemea nini kesi anazozisimamia dhidi ya serikali na watawala .KUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU
Magoiga SN
Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali yenye mamlaka na wajibu kwa watu wake walioichagua.
Kosa wanalofanya wengi wakisikia neno dola wanatengeneza tafsiri moja ya vyombo vya dola (Yaani vyombo vya ulinzi na usalama) UNAPOSEMA tuchagueni ili tushike dola tuwaletee maendeleo ni sawa na kusema, tuchagueni tushike serikali ili tuwaletee maendeleo. Vyombo vya dola vipo vingi sana siyo vya ulinzi na usalama pekee, hata mahakama ni chombo cha dola kinachotumika kutafsiri sheria na kutoa haki
Chama kilichoshika dola yaani chama kilichounda serikali kikiitumia dola vizuri kitafanikiwa ktk haya yafuatayo ;
i) Kitawaletea wananchi maendeleo ktk nyanja mbalimbali kwa kuunda wizara imara za kutekeleza mpango ya maendeleo na kuhakikisha uwepo wa fedha kugharimia miradi ya maendeleo,
ii) Kitadumisha ulinzi na usalama ndani ya nchi na kulinda mipaka yake kwa kuunda vyombo madhubuti vya ulinzi na usalama ,
iii) Kitahakikisha kila mtu anaheshimiwa utu wake kwa kujenga vyombo vya kutoa haki kama mahakama na mabaraza kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki yake
iv) Chama kitatumia dola , kuhakikisha huduma za jamii kama afya, elimu, miundombinu ya barabara na mengineyo yanawafikia wanachi ili kuwapunguzia kero ktk nyanja hizo nk nk. Fedha ambazo serikali ya CCM inatumia kujenga mahospitali, mashule, reli ya kisasa, madaraja nk ni mfano wa jinsi chama kinavyotumia dola/serikali ktk kuwahudumia wananchi na hivyo kujijengea jina na uaminifu wa kuchaguliwa tena
Kwahiyo chama kilichochaguliwa na kikaunda serikali kinakuwa kimepata jukwaa la kuwatumikia watanzania wote moja kwa moja ktk nyanja zote za kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wake, kikifanikiwa kutatua matatizo kwa kiwango kinachoridhisha wananchi huweza tena kukichaguja chamma hicho hicho.
Kwahiyo chama kama CCM kina kitu cha kuwaonyesha watu kuwa nimefanya hiki na hiki na mkituchagua tena tutafanya hiki na hiki au kumalizia hiki na hiki maana ndicho chama kilichounda dola /serikali, lakini vyama vingine ambavyo havijawahi kuaminiwa na wananchi na kuruhusiwa kushika dola huwa wanajinadi kwa kusema mkitupa tutafanya lakini hawana cha kuonyesha kama mfano maana vyote vilivyopo vipo kwasababu ya chama kingine kilichounda serikali.
Bashiru hajasema atatumia jeshi la polisi au vyombo vya ulinzi na usalama kushinda uchaguzi.
Tatizo la Bashiru huwa akiongea hudhani kila anayeongea nae ana uelewa wa kuelewa alichokisema bila kufafanuliwa kwa lugha ya darasa la kwanza.
Naitwa Magoiga SN
KUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU
Magoiga SN
Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali yenye mamlaka na wajibu kwa watu wake walioichagua.
Kosa wanalofanya wengi wakisikia neno dola wanatengeneza tafsiri moja ya vyombo vya dola (Yaani vyombo vya ulinzi na usalama) UNAPOSEMA tuchagueni ili tushike dola tuwaletee maendeleo ni sawa na kusema, tuchagueni tushike serikali ili tuwaletee maendeleo. Vyombo vya dola vipo vingi sana siyo vya ulinzi na usalama pekee, hata mahakama ni chombo cha dola kinachotumika kutafsiri sheria na kutoa haki
Chama kilichoshika dola yaani chama kilichounda serikali kikiitumia dola vizuri kitafanikiwa ktk haya yafuatayo ;
i) Kitawaletea wananchi maendeleo ktk nyanja mbalimbali kwa kuunda wizara imara za kutekeleza mpango ya maendeleo na kuhakikisha uwepo wa fedha kugharimia miradi ya maendeleo,
ii) Kitadumisha ulinzi na usalama ndani ya nchi na kulinda mipaka yake kwa kuunda vyombo madhubuti vya ulinzi na usalama ,
iii) Kitahakikisha kila mtu anaheshimiwa utu wake kwa kujenga vyombo vya kutoa haki kama mahakama na mabaraza kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki yake
iv) Chama kitatumia dola , kuhakikisha huduma za jamii kama afya, elimu, miundombinu ya barabara na mengineyo yanawafikia wanachi ili kuwapunguzia kero ktk nyanja hizo nk nk. Fedha ambazo serikali ya CCM inatumia kujenga mahospitali, mashule, reli ya kisasa, madaraja nk ni mfano wa jinsi chama kinavyotumia dola/serikali ktk kuwahudumia wananchi na hivyo kujijengea jina na uaminifu wa kuchaguliwa tena
Kwahiyo chama kilichochaguliwa na kikaunda serikali kinakuwa kimepata jukwaa la kuwatumikia watanzania wote moja kwa moja ktk nyanja zote za kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wake, kikifanikiwa kutatua matatizo kwa kiwango kinachoridhisha wananchi huweza tena kukichaguja chamma hicho hicho.
Kwahiyo chama kama CCM kina kitu cha kuwaonyesha watu kuwa nimefanya hiki na hiki na mkituchagua tena tutafanya hiki na hiki au kumalizia hiki na hiki maana ndicho chama kilichounda dola /serikali, lakini vyama vingine ambavyo havijawahi kuaminiwa na wananchi na kuruhusiwa kushika dola huwa wanajinadi kwa kusema mkitupa tutafanya lakini hawana cha kuonyesha kama mfano maana vyote vilivyopo vipo kwasababu ya chama kingine kilichounda serikali.
Bashiru hajasema atatumia jeshi la polisi au vyombo vya ulinzi na usalama kushinda uchaguzi.
Tatizo la Bashiru huwa akiongea hudhani kila anayeongea nae ana uelewa wa kuelewa alichokisema bila kufafanuliwa kwa lugha ya darasa la kwanza.
Naitwa Magoiga SN
Umbwa wewe hujui Maana ya DolaKUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU
Magoiga SN
Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali yenye mamlaka na wajibu kwa watu wake walioichagua.
Kosa wanalofanya wengi wakisikia neno dola wanatengeneza tafsiri moja ya vyombo vya dola (Yaani vyombo vya ulinzi na usalama) UNAPOSEMA tuchagueni ili tushike dola tuwaletee maendeleo ni sawa na kusema, tuchagueni tushike serikali ili tuwaletee maendeleo. Vyombo vya dola vipo vingi sana siyo vya ulinzi na usalama pekee, hata mahakama ni chombo cha dola kinachotumika kutafsiri sheria na kutoa haki
Chama kilichoshika dola yaani chama kilichounda serikali kikiitumia dola vizuri kitafanikiwa ktk haya yafuatayo ;
i) Kitawaletea wananchi maendeleo ktk nyanja mbalimbali kwa kuunda wizara imara za kutekeleza mpango ya maendeleo na kuhakikisha uwepo wa fedha kugharimia miradi ya maendeleo,
ii) Kitadumisha ulinzi na usalama ndani ya nchi na kulinda mipaka yake kwa kuunda vyombo madhubuti vya ulinzi na usalama ,
iii) Kitahakikisha kila mtu anaheshimiwa utu wake kwa kujenga vyombo vya kutoa haki kama mahakama na mabaraza kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki yake
iv) Chama kitatumia dola , kuhakikisha huduma za jamii kama afya, elimu, miundombinu ya barabara na mengineyo yanawafikia wanachi ili kuwapunguzia kero ktk nyanja hizo nk nk. Fedha ambazo serikali ya CCM inatumia kujenga mahospitali, mashule, reli ya kisasa, madaraja nk ni mfano wa jinsi chama kinavyotumia dola/serikali ktk kuwahudumia wananchi na hivyo kujijengea jina na uaminifu wa kuchaguliwa tena
Kwahiyo chama kilichochaguliwa na kikaunda serikali kinakuwa kimepata jukwaa la kuwatumikia watanzania wote moja kwa moja ktk nyanja zote za kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wake, kikifanikiwa kutatua matatizo kwa kiwango kinachoridhisha wananchi huweza tena kukichaguja chamma hicho hicho.
Kwahiyo chama kama CCM kina kitu cha kuwaonyesha watu kuwa nimefanya hiki na hiki na mkituchagua tena tutafanya hiki na hiki au kumalizia hiki na hiki maana ndicho chama kilichounda dola /serikali, lakini vyama vingine ambavyo havijawahi kuaminiwa na wananchi na kuruhusiwa kushika dola huwa wanajinadi kwa kusema mkitupa tutafanya lakini hawana cha kuonyesha kama mfano maana vyote vilivyopo vipo kwasababu ya chama kingine kilichounda serikali.
Bashiru hajasema atatumia jeshi la polisi au vyombo vya ulinzi na usalama kushinda uchaguzi.
Tatizo la Bashiru huwa akiongea hudhani kila anayeongea nae ana uelewa wa kuelewa alichokisema bila kufafanuliwa kwa lugha ya darasa la kwanza.
Naitwa Magoiga SN
Kwanza Dola ni mamlaka, na huwezi kutumia serikali kubaki madarakani ukipewa mamlaka(Dola) unaunda serikali, ambacho nichombo chausimamizi chenye mgawanyo mbalimbali kusimamia shughuri mzima za nchi, ukisema ninatumia Dola ni sawa nakusema kutumia mamlaka ulopewa kuunda serikali, chama kinapewa mamlaka(Dola) kuunda serikali na ukipewa hiyo ridhaa unapaswa kuongoza nasikutawala nanikwa mujibu ya Katiba ya nchi sikwakatiba ya chama kilichopewa lidhaa .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unajua kuwa yawezekana zaidi ya 80% waliomo huwa wanakuzidi akili, uelewa na elimu?KUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU
Magoiga SN
Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali yenye mamlaka na wajibu kwa watu wake walioichagua.
Kosa wanalofanya wengi wakisikia neno dola wanatengeneza tafsiri moja ya vyombo vya dola (Yaani vyombo vya ulinzi na usalama) UNAPOSEMA tuchagueni ili tushike dola tuwaletee maendeleo ni sawa na kusema, tuchagueni tushike serikali ili tuwaletee maendeleo. Vyombo vya dola vipo vingi sana siyo vya ulinzi na usalama pekee, hata mahakama ni chombo cha dola kinachotumika kutafsiri sheria na kutoa haki
Chama kilichoshika dola yaani chama kilichounda serikali kikiitumia dola vizuri kitafanikiwa ktk haya yafuatayo ;
i) Kitawaletea wananchi maendeleo ktk nyanja mbalimbali kwa kuunda wizara imara za kutekeleza mpango ya maendeleo na kuhakikisha uwepo wa fedha kugharimia miradi ya maendeleo,
ii) Kitadumisha ulinzi na usalama ndani ya nchi na kulinda mipaka yake kwa kuunda vyombo madhubuti vya ulinzi na usalama ,
iii) Kitahakikisha kila mtu anaheshimiwa utu wake kwa kujenga vyombo vya kutoa haki kama mahakama na mabaraza kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki yake
iv) Chama kitatumia dola , kuhakikisha huduma za jamii kama afya, elimu, miundombinu ya barabara na mengineyo yanawafikia wanachi ili kuwapunguzia kero ktk nyanja hizo nk nk. Fedha ambazo serikali ya CCM inatumia kujenga mahospitali, mashule, reli ya kisasa, madaraja nk ni mfano wa jinsi chama kinavyotumia dola/serikali ktk kuwahudumia wananchi na hivyo kujijengea jina na uaminifu wa kuchaguliwa tena
Kwahiyo chama kilichochaguliwa na kikaunda serikali kinakuwa kimepata jukwaa la kuwatumikia watanzania wote moja kwa moja ktk nyanja zote za kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wake, kikifanikiwa kutatua matatizo kwa kiwango kinachoridhisha wananchi huweza tena kukichaguja chamma hicho hicho.
Kwahiyo chama kama CCM kina kitu cha kuwaonyesha watu kuwa nimefanya hiki na hiki na mkituchagua tena tutafanya hiki na hiki au kumalizia hiki na hiki maana ndicho chama kilichounda dola /serikali, lakini vyama vingine ambavyo havijawahi kuaminiwa na wananchi na kuruhusiwa kushika dola huwa wanajinadi kwa kusema mkitupa tutafanya lakini hawana cha kuonyesha kama mfano maana vyote vilivyopo vipo kwasababu ya chama kingine kilichounda serikali.
Bashiru hajasema atatumia jeshi la polisi au vyombo vya ulinzi na usalama kushinda uchaguzi.
Tatizo la Bashiru huwa akiongea hudhani kila anayeongea nae ana uelewa wa kuelewa alichokisema bila kufafanuliwa kwa lugha ya darasa la kwanza.
Naitwa Magoiga SN
Bos Kwan ulifikir hawakuelewa wameelewa tu ila wanajitoa ufaham nKUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU
Magoiga SN
Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali yenye mamlaka na wajibu kwa watu wake walioichagua.
Kosa wanalofanya wengi wakisikia neno dola wanatengeneza tafsiri moja ya vyombo vya dola (Yaani vyombo vya ulinzi na usalama) UNAPOSEMA tuchagueni ili tushike dola tuwaletee maendeleo ni sawa na kusema, tuchagueni tushike serikali ili tuwaletee maendeleo. Vyombo vya dola vipo vingi sana siyo vya ulinzi na usalama pekee, hata mahakama ni chombo cha dola kinachotumika kutafsiri sheria na kutoa haki
Chama kilichoshika dola yaani chama kilichounda serikali kikiitumia dola vizuri kitafanikiwa ktk haya yafuatayo ;
i) Kitawaletea wananchi maendeleo ktk nyanja mbalimbali kwa kuunda wizara imara za kutekeleza mpango ya maendeleo na kuhakikisha uwepo wa fedha kugharimia miradi ya maendeleo,
ii) Kitadumisha ulinzi na usalama ndani ya nchi na kulinda mipaka yake kwa kuunda vyombo madhubuti vya ulinzi na usalama ,
iii) Kitahakikisha kila mtu anaheshimiwa utu wake kwa kujenga vyombo vya kutoa haki kama mahakama na mabaraza kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki yake
iv) Chama kitatumia dola , kuhakikisha huduma za jamii kama afya, elimu, miundombinu ya barabara na mengineyo yanawafikia wanachi ili kuwapunguzia kero ktk nyanja hizo nk nk. Fedha ambazo serikali ya CCM inatumia kujenga mahospitali, mashule, reli ya kisasa, madaraja nk ni mfano wa jinsi chama kinavyotumia dola/serikali ktk kuwahudumia wananchi na hivyo kujijengea jina na uaminifu wa kuchaguliwa tena
Kwahiyo chama kilichochaguliwa na kikaunda serikali kinakuwa kimepata jukwaa la kuwatumikia watanzania wote moja kwa moja ktk nyanja zote za kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wake, kikifanikiwa kutatua matatizo kwa kiwango kinachoridhisha wananchi huweza tena kukichaguja chamma hicho hicho.
Kwahiyo chama kama CCM kina kitu cha kuwaonyesha watu kuwa nimefanya hiki na hiki na mkituchagua tena tutafanya hiki na hiki au kumalizia hiki na hiki maana ndicho chama kilichounda dola /serikali, lakini vyama vingine ambavyo havijawahi kuaminiwa na wananchi na kuruhusiwa kushika dola huwa wanajinadi kwa kusema mkitupa tutafanya lakini hawana cha kuonyesha kama mfano maana vyote vilivyopo vipo kwasababu ya chama kingine kilichounda serikali.
Bashiru hajasema atatumia jeshi la polisi au vyombo vya ulinzi na usalama kushinda uchaguzi.
Tatizo la Bashiru huwa akiongea hudhani kila anayeongea nae ana uelewa wa kuelewa alichokisema bila kufafanuliwa kwa lugha ya darasa la kwanza.
Naitwa Magoiga SN