Taratibu tuelewane: Bashiru anaposema kutumia Dola kushika Dola anamaanisha haya...

Taratibu tuelewane: Bashiru anaposema kutumia Dola kushika Dola anamaanisha haya...

Acheni kujieleta na vimakala vyenu vya kimatacor!

Mmeshaongea,tulishaelewa!

Hizi stori mnazotuletea hapa katikati sijui mavi mara mavi yale,keep them for yourself!

Sijui mnatuonaje aisee!

Mnatuona hatuna akili ya kujua kauli?

Sad enough sio kauli tu,vitendo tangu 2015 mpaka leo,vina prove all this nonsense!

Mmafanya kutoa kauli kudhibitisha whats has been happening for centuries!
Tatizo ni elimu na uelewa wenu wafuasi wa upinzani.

Mnataka kulisha watu matango.

Wafuasi na aina ya wachangiaji kama wewe ni janga la kitaifa.

Ni kama vile mnataka kuleta vurugu ili mfanye looting

Aibu kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU

Magoiga SN

Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali yenye mamlaka na wajibu kwa watu wake walioichagua.

Kosa wanalofanya wengi wakisikia neno dola wanatengeneza tafsiri moja ya vyombo vya dola (Yaani vyombo vya ulinzi na usalama) UNAPOSEMA tuchagueni ili tushike dola tuwaletee maendeleo ni sawa na kusema, tuchagueni tushike serikali ili tuwaletee maendeleo. Vyombo vya dola vipo vingi sana siyo vya ulinzi na usalama pekee, hata mahakama ni chombo cha dola kinachotumika kutafsiri sheria na kutoa haki

Chama kilichoshika dola yaani chama kilichounda serikali kikiitumia dola vizuri kitafanikiwa ktk haya yafuatayo ;

i) Kitawaletea wananchi maendeleo ktk nyanja mbalimbali kwa kuunda wizara imara za kutekeleza mpango ya maendeleo na kuhakikisha uwepo wa fedha kugharimia miradi ya maendeleo,

ii) Kitadumisha ulinzi na usalama ndani ya nchi na kulinda mipaka yake kwa kuunda vyombo madhubuti vya ulinzi na usalama ,

iii) Kitahakikisha kila mtu anaheshimiwa utu wake kwa kujenga vyombo vya kutoa haki kama mahakama na mabaraza kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki yake

iv) Chama kitatumia dola , kuhakikisha huduma za jamii kama afya, elimu, miundombinu ya barabara na mengineyo yanawafikia wanachi ili kuwapunguzia kero ktk nyanja hizo nk nk. Fedha ambazo serikali ya CCM inatumia kujenga mahospitali, mashule, reli ya kisasa, madaraja nk ni mfano wa jinsi chama kinavyotumia dola/serikali ktk kuwahudumia wananchi na hivyo kujijengea jina na uaminifu wa kuchaguliwa tena

Kwahiyo chama kilichochaguliwa na kikaunda serikali kinakuwa kimepata jukwaa la kuwatumikia watanzania wote moja kwa moja ktk nyanja zote za kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wake, kikifanikiwa kutatua matatizo kwa kiwango kinachoridhisha wananchi huweza tena kukichaguja chamma hicho hicho.

Kwahiyo chama kama CCM kina kitu cha kuwaonyesha watu kuwa nimefanya hiki na hiki na mkituchagua tena tutafanya hiki na hiki au kumalizia hiki na hiki maana ndicho chama kilichounda dola /serikali, lakini vyama vingine ambavyo havijawahi kuaminiwa na wananchi na kuruhusiwa kushika dola huwa wanajinadi kwa kusema mkitupa tutafanya lakini hawana cha kuonyesha kama mfano maana vyote vilivyopo vipo kwasababu ya chama kingine kilichounda serikali.

Bashiru hajasema atatumia jeshi la polisi au vyombo vya ulinzi na usalama kushinda uchaguzi.

Tatizo la Bashiru huwa akiongea hudhani kila anayeongea nae ana uelewa wa kuelewa alichokisema bila kufafanuliwa kwa lugha ya darasa la kwanza.

Naitwa Magoiga SN
One day such declaration will operate upside
Down upon them and tell the tale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni elimu na uelewa wenu wafuasi wa upinzani.

Mnataka kulisha watu matango.

Wafuasi na aina ya wachangiaji kama wewe ni janga la kitaifa.

Ni kama vile mnataka kuleta vurugu ili mfanye looting

Aibu kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Matango gani?

Mmekua mkitumia dola na jeshi kujipatia kura,uongo au kweli?

Leo mmesema wazi,mnatumia dola kushinda chaguzi,mnataka kutuletea stori ndeefu as if hatuna akili to think for ourselves?

Fvck yall ccm motherfvckers!
 
CCM pamoja na ukweli kwamba ni chama kikongwe, lakini pia ni ukweli uliokuwa bayana kuwa kimekosa dira na uelekeo sahihi. Ni chama ambacho viongozi wake ni wababaishaji tu wenye kutegemea kubebwa na vyombo vya dola, jambo ambalo kwa uwazi wanajivunia.

Ni chama chenye viongozi waliokosa maono bora ya kuipeleka nchi yetu ktk viwango vya juu vya maendeleo, na pia hali ya kuweza kufaidika zaidi na rasilimali lukuki zilizopo ndani ya nchi yetu. Wao badala ya kufanya jitihada za kuliunganisha taifa hili pasipo kujali tofauti za kiitikadi za vyama miongoni mwa wananchi, wao wanaona kubaguana kisiasa ndio pekee ya kuzidi kuliongoza taifa, tena wakiwa na kiburi kwa kuamini ndio pekee wenye hati miliki juu ya hatima ya uongozi wa taifa hili.

Kauli na matendo yao hutudhihirishia mapungufu yao. Imefikia kiwango mtu akiwa na hoja kinzani dhidi yao humchukulia ndio adui yao. Na uadui huu unakuwa si kwa makada wake bali unajumuhisha hata watendaji waliopo ndani ya vyombo vya dola.

Sasa suala la weledi, maadili na uadilifu linaonekana ni kutii amri za viongozi wa wa aina ya Dr. Bashiru, pasipo kujali hata uhalali wa amri husika. Na viongozi wa vyombo vya dola wameingia ktk mtego mkubwa, wametambua ili kujihakikishia ajira ama vyeo, ni kujipenfekeza na kutenda vile ambavyo mabwana zao wanavyopenda iwe na wala sio tena suala la weledi na maadili ya kazi zao.

Ndiyo maana tunamuona Leo akiwa ktk misururu mirefu ya magari atembeapo sehemu mbalimbali za nchi yetu, akiwa amezungukwa na maafisa wa vyeo vya juu wa vyombo hivi vya dola. Tena hadharani akitoa maagizo kwa maafisa hao nini ambacho anataka kifanyike. Na kwa kiburi kabisa hadharani akitamka kuwa wao kama chama tawala wanafaidika kwa kushika dola ktk chaguzi mbalimbali hapa nchini.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU

Magoiga SN

Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali yenye mamlaka na wajibu kwa watu wake walioichagua.

Kosa wanalofanya wengi wakisikia neno dola wanatengeneza tafsiri moja ya vyombo vya dola (Yaani vyombo vya ulinzi na usalama) UNAPOSEMA tuchagueni ili tushike dola tuwaletee maendeleo ni sawa na kusema, tuchagueni tushike serikali ili tuwaletee maendeleo. Vyombo vya dola vipo vingi sana siyo vya ulinzi na usalama pekee, hata mahakama ni chombo cha dola kinachotumika kutafsiri sheria na kutoa haki

Chama kilichoshika dola yaani chama kilichounda serikali kikiitumia dola vizuri kitafanikiwa ktk haya yafuatayo ;

i) Kitawaletea wananchi maendeleo ktk nyanja mbalimbali kwa kuunda wizara imara za kutekeleza mpango ya maendeleo na kuhakikisha uwepo wa fedha kugharimia miradi ya maendeleo,

ii) Kitadumisha ulinzi na usalama ndani ya nchi na kulinda mipaka yake kwa kuunda vyombo madhubuti vya ulinzi na usalama ,

iii) Kitahakikisha kila mtu anaheshimiwa utu wake kwa kujenga vyombo vya kutoa haki kama mahakama na mabaraza kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki yake

iv) Chama kitatumia dola , kuhakikisha huduma za jamii kama afya, elimu, miundombinu ya barabara na mengineyo yanawafikia wanachi ili kuwapunguzia kero ktk nyanja hizo nk nk. Fedha ambazo serikali ya CCM inatumia kujenga mahospitali, mashule, reli ya kisasa, madaraja nk ni mfano wa jinsi chama kinavyotumia dola/serikali ktk kuwahudumia wananchi na hivyo kujijengea jina na uaminifu wa kuchaguliwa tena

Kwahiyo chama kilichochaguliwa na kikaunda serikali kinakuwa kimepata jukwaa la kuwatumikia watanzania wote moja kwa moja ktk nyanja zote za kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wake, kikifanikiwa kutatua matatizo kwa kiwango kinachoridhisha wananchi huweza tena kukichaguja chamma hicho hicho.

Kwahiyo chama kama CCM kina kitu cha kuwaonyesha watu kuwa nimefanya hiki na hiki na mkituchagua tena tutafanya hiki na hiki au kumalizia hiki na hiki maana ndicho chama kilichounda dola /serikali, lakini vyama vingine ambavyo havijawahi kuaminiwa na wananchi na kuruhusiwa kushika dola huwa wanajinadi kwa kusema mkitupa tutafanya lakini hawana cha kuonyesha kama mfano maana vyote vilivyopo vipo kwasababu ya chama kingine kilichounda serikali.

Bashiru hajasema atatumia jeshi la polisi au vyombo vya ulinzi na usalama kushinda uchaguzi.

Tatizo la Bashiru huwa akiongea hudhani kila anayeongea nae ana uelewa wa kuelewa alichokisema bila kufafanuliwa kwa lugha ya darasa la kwanza.

Naitwa Magoiga SN
Huyu mleta mada, kama siyo yeye basi ni ndugu yake. Aligombea ubunge nyamagana. Akaanguka, baadaye ndiyo wale makada waliozawadiwa "ukurugenzi" na ndani ya miaka miwili alipewa ujaji . Sasa mtu kama huyu yuko mahakamani , unategemea nini kesi anazozisimamia dhidi ya serikali na watawala .

Najuwa ni mwanasheria ndiyo. Lakini majibu ya Bashiru yalitokana na maudhui ya muuliza swali. Ambaye alitaka kujua juu ya kunyanyaswa kwa wapinzani wa CCM dhidi ya vyombo vya dola na vya maamuzi. Sasa Bashiru amekiri wanavitumia kubaki na dola , halafu wewe utupe tafsiri gani zaidi kumwelewa ?!.

Ungekaa kimya usiufedheheshe ujaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni uzuzu.. wote tumemsikia bashiru hakutaja barabara wala hospitali. Alimaananisha jeshi la police na etc.


Ungesema alikua amelewa tungekuelewa kuliko huu uharo wako.
KUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU

Magoiga SN

Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali yenye mamlaka na wajibu kwa watu wake walioichagua.

Kosa wanalofanya wengi wakisikia neno dola wanatengeneza tafsiri moja ya vyombo vya dola (Yaani vyombo vya ulinzi na usalama) UNAPOSEMA tuchagueni ili tushike dola tuwaletee maendeleo ni sawa na kusema, tuchagueni tushike serikali ili tuwaletee maendeleo. Vyombo vya dola vipo vingi sana siyo vya ulinzi na usalama pekee, hata mahakama ni chombo cha dola kinachotumika kutafsiri sheria na kutoa haki

Chama kilichoshika dola yaani chama kilichounda serikali kikiitumia dola vizuri kitafanikiwa ktk haya yafuatayo ;

i) Kitawaletea wananchi maendeleo ktk nyanja mbalimbali kwa kuunda wizara imara za kutekeleza mpango ya maendeleo na kuhakikisha uwepo wa fedha kugharimia miradi ya maendeleo,

ii) Kitadumisha ulinzi na usalama ndani ya nchi na kulinda mipaka yake kwa kuunda vyombo madhubuti vya ulinzi na usalama ,

iii) Kitahakikisha kila mtu anaheshimiwa utu wake kwa kujenga vyombo vya kutoa haki kama mahakama na mabaraza kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki yake

iv) Chama kitatumia dola , kuhakikisha huduma za jamii kama afya, elimu, miundombinu ya barabara na mengineyo yanawafikia wanachi ili kuwapunguzia kero ktk nyanja hizo nk nk. Fedha ambazo serikali ya CCM inatumia kujenga mahospitali, mashule, reli ya kisasa, madaraja nk ni mfano wa jinsi chama kinavyotumia dola/serikali ktk kuwahudumia wananchi na hivyo kujijengea jina na uaminifu wa kuchaguliwa tena

Kwahiyo chama kilichochaguliwa na kikaunda serikali kinakuwa kimepata jukwaa la kuwatumikia watanzania wote moja kwa moja ktk nyanja zote za kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wake, kikifanikiwa kutatua matatizo kwa kiwango kinachoridhisha wananchi huweza tena kukichaguja chamma hicho hicho.

Kwahiyo chama kama CCM kina kitu cha kuwaonyesha watu kuwa nimefanya hiki na hiki na mkituchagua tena tutafanya hiki na hiki au kumalizia hiki na hiki maana ndicho chama kilichounda dola /serikali, lakini vyama vingine ambavyo havijawahi kuaminiwa na wananchi na kuruhusiwa kushika dola huwa wanajinadi kwa kusema mkitupa tutafanya lakini hawana cha kuonyesha kama mfano maana vyote vilivyopo vipo kwasababu ya chama kingine kilichounda serikali.

Bashiru hajasema atatumia jeshi la polisi au vyombo vya ulinzi na usalama kushinda uchaguzi.

Tatizo la Bashiru huwa akiongea hudhani kila anayeongea nae ana uelewa wa kuelewa alichokisema bila kufafanuliwa kwa lugha ya darasa la kwanza.

Naitwa Magoiga SN

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU

Magoiga SN

Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali yenye mamlaka na wajibu kwa watu wake walioichagua.

Kosa wanalofanya wengi wakisikia neno dola wanatengeneza tafsiri moja ya vyombo vya dola (Yaani vyombo vya ulinzi na usalama) UNAPOSEMA tuchagueni ili tushike dola tuwaletee maendeleo ni sawa na kusema, tuchagueni tushike serikali ili tuwaletee maendeleo. Vyombo vya dola vipo vingi sana siyo vya ulinzi na usalama pekee, hata mahakama ni chombo cha dola kinachotumika kutafsiri sheria na kutoa haki

Chama kilichoshika dola yaani chama kilichounda serikali kikiitumia dola vizuri kitafanikiwa ktk haya yafuatayo ;

i) Kitawaletea wananchi maendeleo ktk nyanja mbalimbali kwa kuunda wizara imara za kutekeleza mpango ya maendeleo na kuhakikisha uwepo wa fedha kugharimia miradi ya maendeleo,

ii) Kitadumisha ulinzi na usalama ndani ya nchi na kulinda mipaka yake kwa kuunda vyombo madhubuti vya ulinzi na usalama ,

iii) Kitahakikisha kila mtu anaheshimiwa utu wake kwa kujenga vyombo vya kutoa haki kama mahakama na mabaraza kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki yake

iv) Chama kitatumia dola , kuhakikisha huduma za jamii kama afya, elimu, miundombinu ya barabara na mengineyo yanawafikia wanachi ili kuwapunguzia kero ktk nyanja hizo nk nk. Fedha ambazo serikali ya CCM inatumia kujenga mahospitali, mashule, reli ya kisasa, madaraja nk ni mfano wa jinsi chama kinavyotumia dola/serikali ktk kuwahudumia wananchi na hivyo kujijengea jina na uaminifu wa kuchaguliwa tena

Kwahiyo chama kilichochaguliwa na kikaunda serikali kinakuwa kimepata jukwaa la kuwatumikia watanzania wote moja kwa moja ktk nyanja zote za kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wake, kikifanikiwa kutatua matatizo kwa kiwango kinachoridhisha wananchi huweza tena kukichaguja chamma hicho hicho.

Kwahiyo chama kama CCM kina kitu cha kuwaonyesha watu kuwa nimefanya hiki na hiki na mkituchagua tena tutafanya hiki na hiki au kumalizia hiki na hiki maana ndicho chama kilichounda dola /serikali, lakini vyama vingine ambavyo havijawahi kuaminiwa na wananchi na kuruhusiwa kushika dola huwa wanajinadi kwa kusema mkitupa tutafanya lakini hawana cha kuonyesha kama mfano maana vyote vilivyopo vipo kwasababu ya chama kingine kilichounda serikali.

Bashiru hajasema atatumia jeshi la polisi au vyombo vya ulinzi na usalama kushinda uchaguzi.

Tatizo la Bashiru huwa akiongea hudhani kila anayeongea nae ana uelewa wa kuelewa alichokisema bila kufafanuliwa kwa lugha ya darasa la kwanza.

Naitwa Magoiga SN
Umbwa wewe hujui Maana ya Dola

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Kwanza Dola ni mamlaka, na huwezi kutumia serikali kubaki madarakani ukipewa mamlaka(Dola) unaunda serikali, ambacho nichombo chausimamizi chenye mgawanyo mbalimbali kusimamia shughuri mzima za nchi, ukisema ninatumia Dola ni sawa nakusema kutumia mamlaka ulopewa kuunda serikali, chama kinapewa mamlaka(Dola) kuunda serikali na ukipewa hiyo ridhaa unapaswa kuongoza nasikutawala nanikwa mujibu ya Katina ya nchi sikwakatiba ya chama kilichopewa lidhaa .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza Dola ni mamlaka, na huwezi kutumia serikali kubaki madarakani ukipewa mamlaka(Dola) unaunda serikali, ambacho nichombo chausimamizi chenye mgawanyo mbalimbali kusimamia shughuri mzima za nchi, ukisema ninatumia Dola ni sawa nakusema kutumia mamlaka ulopewa kuunda serikali, chama kinapewa mamlaka(Dola) kuunda serikali na ukipewa hiyo ridhaa unapaswa kuongoza nasikutawala nanikwa mujibu ya Katiba ya nchi sikwakatiba ya chama kilichopewa lidhaa .

Sent using Jamii Forums mobile app



Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU

Magoiga SN

Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali yenye mamlaka na wajibu kwa watu wake walioichagua.

Kosa wanalofanya wengi wakisikia neno dola wanatengeneza tafsiri moja ya vyombo vya dola (Yaani vyombo vya ulinzi na usalama) UNAPOSEMA tuchagueni ili tushike dola tuwaletee maendeleo ni sawa na kusema, tuchagueni tushike serikali ili tuwaletee maendeleo. Vyombo vya dola vipo vingi sana siyo vya ulinzi na usalama pekee, hata mahakama ni chombo cha dola kinachotumika kutafsiri sheria na kutoa haki

Chama kilichoshika dola yaani chama kilichounda serikali kikiitumia dola vizuri kitafanikiwa ktk haya yafuatayo ;

i) Kitawaletea wananchi maendeleo ktk nyanja mbalimbali kwa kuunda wizara imara za kutekeleza mpango ya maendeleo na kuhakikisha uwepo wa fedha kugharimia miradi ya maendeleo,

ii) Kitadumisha ulinzi na usalama ndani ya nchi na kulinda mipaka yake kwa kuunda vyombo madhubuti vya ulinzi na usalama ,

iii) Kitahakikisha kila mtu anaheshimiwa utu wake kwa kujenga vyombo vya kutoa haki kama mahakama na mabaraza kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki yake

iv) Chama kitatumia dola , kuhakikisha huduma za jamii kama afya, elimu, miundombinu ya barabara na mengineyo yanawafikia wanachi ili kuwapunguzia kero ktk nyanja hizo nk nk. Fedha ambazo serikali ya CCM inatumia kujenga mahospitali, mashule, reli ya kisasa, madaraja nk ni mfano wa jinsi chama kinavyotumia dola/serikali ktk kuwahudumia wananchi na hivyo kujijengea jina na uaminifu wa kuchaguliwa tena

Kwahiyo chama kilichochaguliwa na kikaunda serikali kinakuwa kimepata jukwaa la kuwatumikia watanzania wote moja kwa moja ktk nyanja zote za kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wake, kikifanikiwa kutatua matatizo kwa kiwango kinachoridhisha wananchi huweza tena kukichaguja chamma hicho hicho.

Kwahiyo chama kama CCM kina kitu cha kuwaonyesha watu kuwa nimefanya hiki na hiki na mkituchagua tena tutafanya hiki na hiki au kumalizia hiki na hiki maana ndicho chama kilichounda dola /serikali, lakini vyama vingine ambavyo havijawahi kuaminiwa na wananchi na kuruhusiwa kushika dola huwa wanajinadi kwa kusema mkitupa tutafanya lakini hawana cha kuonyesha kama mfano maana vyote vilivyopo vipo kwasababu ya chama kingine kilichounda serikali.

Bashiru hajasema atatumia jeshi la polisi au vyombo vya ulinzi na usalama kushinda uchaguzi.

Tatizo la Bashiru huwa akiongea hudhani kila anayeongea nae ana uelewa wa kuelewa alichokisema bila kufafanuliwa kwa lugha ya darasa la kwanza.

Naitwa Magoiga SN
Hivi unajua kuwa yawezekana zaidi ya 80% waliomo huwa wanakuzidi akili, uelewa na elimu?
 
KUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU

Magoiga SN

Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali yenye mamlaka na wajibu kwa watu wake walioichagua.

Kosa wanalofanya wengi wakisikia neno dola wanatengeneza tafsiri moja ya vyombo vya dola (Yaani vyombo vya ulinzi na usalama) UNAPOSEMA tuchagueni ili tushike dola tuwaletee maendeleo ni sawa na kusema, tuchagueni tushike serikali ili tuwaletee maendeleo. Vyombo vya dola vipo vingi sana siyo vya ulinzi na usalama pekee, hata mahakama ni chombo cha dola kinachotumika kutafsiri sheria na kutoa haki

Chama kilichoshika dola yaani chama kilichounda serikali kikiitumia dola vizuri kitafanikiwa ktk haya yafuatayo ;

i) Kitawaletea wananchi maendeleo ktk nyanja mbalimbali kwa kuunda wizara imara za kutekeleza mpango ya maendeleo na kuhakikisha uwepo wa fedha kugharimia miradi ya maendeleo,

ii) Kitadumisha ulinzi na usalama ndani ya nchi na kulinda mipaka yake kwa kuunda vyombo madhubuti vya ulinzi na usalama ,

iii) Kitahakikisha kila mtu anaheshimiwa utu wake kwa kujenga vyombo vya kutoa haki kama mahakama na mabaraza kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki yake

iv) Chama kitatumia dola , kuhakikisha huduma za jamii kama afya, elimu, miundombinu ya barabara na mengineyo yanawafikia wanachi ili kuwapunguzia kero ktk nyanja hizo nk nk. Fedha ambazo serikali ya CCM inatumia kujenga mahospitali, mashule, reli ya kisasa, madaraja nk ni mfano wa jinsi chama kinavyotumia dola/serikali ktk kuwahudumia wananchi na hivyo kujijengea jina na uaminifu wa kuchaguliwa tena

Kwahiyo chama kilichochaguliwa na kikaunda serikali kinakuwa kimepata jukwaa la kuwatumikia watanzania wote moja kwa moja ktk nyanja zote za kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wake, kikifanikiwa kutatua matatizo kwa kiwango kinachoridhisha wananchi huweza tena kukichaguja chamma hicho hicho.

Kwahiyo chama kama CCM kina kitu cha kuwaonyesha watu kuwa nimefanya hiki na hiki na mkituchagua tena tutafanya hiki na hiki au kumalizia hiki na hiki maana ndicho chama kilichounda dola /serikali, lakini vyama vingine ambavyo havijawahi kuaminiwa na wananchi na kuruhusiwa kushika dola huwa wanajinadi kwa kusema mkitupa tutafanya lakini hawana cha kuonyesha kama mfano maana vyote vilivyopo vipo kwasababu ya chama kingine kilichounda serikali.

Bashiru hajasema atatumia jeshi la polisi au vyombo vya ulinzi na usalama kushinda uchaguzi.

Tatizo la Bashiru huwa akiongea hudhani kila anayeongea nae ana uelewa wa kuelewa alichokisema bila kufafanuliwa kwa lugha ya darasa la kwanza.

Naitwa Magoiga SN
Bos Kwan ulifikir hawakuelewa wameelewa tu ila wanajitoa ufaham n
Wape na hii


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom