Izi leseni zinatolewa na wizara ya madini ila Unatakiwa uanze kwa afisa biashara wko kuna fomu hatakupa ya fomu ya maombi ya leseni utaipitisha kwa watu wa mipango mji na ardhi na mtendaji wa eneo husika ili kuthibitisha km eneo lipo salama na sahihi kwa biashara iyo next ndo unaenda wizarani kuna ada unalipia ya leseni husika