Lomaa lolusa
Member
- May 15, 2017
- 30
- 45
Members habari za wakati huu nauliza ni taratibu zipi za kufuata ili kupata leseni ya biashara ya lodge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marahaba Mjukuu
Shukrani kwa muongozo nna imani mleta mada ataona.Marahaba Mjukuu
Ili kujenga nyumba ya biashara (Lodge) kwanza ni lazima Kiwanja chako kiwe kimepimwa na kiwe kwenye upande wa Viwanja vya biashara ama Viwanja vya biashara na makazi n.k
Ni lazima uwe na kibali cha Ujenzi kutoka Halmashauri yako.
Kupata leseni ya biashara, unatakiwa uwe na TIN number pamoja na jina la hiyo biashara yako ambalo utaenda kulisajiri kwenye hiyo Halmashauri ambayo unaenda kuombea leseni.
Lakini ni lazima uwe na barua ya Mtaa/Kijiji (recommendation letter/introduction letter)
Pia utatakiwa kuwa na tax clearance form kutoka TRA
Ukishaomba utatakiwa kusubiri ndani ya Siku 7 hadi 14 hivi kuweza kupewa.
Jambo lingine la muhimu kabla hujaanza hiyo biashara hakikisha umepata ripoti ya ukaguzi kutoka Maafisa Afya/Mazingira/Kibali cha Zimamoto/Kibali cha OSHA n.k
Kila la heri kwenye Uwekezaji wa ndoto yako
Wewe ulisema utaanza lini hiyo biashara? Au hadi nikupatie Yale mashamba kama urithi 😜
Mfano nyumba tayari ipo nataka kubadilisha lodge inakuwaje... kuhusu kibali cha ujenziMarahaba Mjukuu
Ili kujenga nyumba ya biashara (Lodge) kwanza ni lazima Kiwanja chako kiwe kimepimwa na kiwe kwenye upande wa Viwanja vya biashara ama Viwanja vya biashara na makazi n.k
Ni lazima uwe na kibali cha Ujenzi kutoka Halmashauri yako.
Kupata leseni ya biashara, unatakiwa uwe na TIN number pamoja na jina la hiyo biashara yako ambalo utaenda kulisajiri kwenye hiyo Halmashauri ambayo unaenda kuombea leseni.
Lakini ni lazima uwe na barua ya Mtaa/Kijiji (recommendation letter/introduction letter)
Pia utatakiwa kuwa na tax clearance form kutoka TRA
Ukishaomba utatakiwa kusubiri ndani ya Siku 7 hadi 14 hivi kuweza kupewa.
Jambo lingine la muhimu kabla hujaanza hiyo biashara hakikisha umepata ripoti ya ukaguzi kutoka Maafisa Afya/Mazingira/Kibali cha Zimamoto/Kibali cha OSHA n.k
Kila la heri kwenye Uwekezaji wa ndoto yako
Mimi bado sana, kwa sasa acha nijenge kwanza mahusiano 😂Wewe ulisema utaanza lini hiyo biashara? Au hadi nikupatie Yale mashamba kama urithi 😜
Hahaha........eti kujenga mahusiano, angalia usije kupigwa tukio kama la Babu yako hapa Mwaka 47 🤗😜Mimi bado sana, kwa sasa acha nijenge kwanza mahusiano 😂
Nenda Halmashauri ukaombe leseni ya biashara tuMfano nyumba tayari ipo nataka kubadilisha lodge inakuwaje... kuhusu kibali cha ujenzi
Kilitokea nini huko mwaka 47 babu?😂Hahaha........eti kujenga mahusiano, angalia usije kupigwa tukio kama la Babu yako hapa Mwaka 47 🤗😜
Kuna sehemu nami nilijenga mahusiano kama wewe unavyofanya.....Siku ya Siku Kuna jamaa alikuja na gari aina ya 110 land Rover (itamke one ten) akafanikiwa kuniibia mchumbaKilitokea nini huko mwaka 47 babu?😂
Mzee wewe si umeshaanza kupoteza kumbukumbu kwa uzee? Ila hilo tukio husahau ama kweli mapenzi ni hatari.Kuna sehemu nami nilijenga mahusiano kama wewe unavyofanya.....Siku ya Siku Kuna jamaa alikuja na gari aina ya 110 land Rover (itamke one ten) akafanikiwa kuniibia mchumba
Ni tukio la Mwaka 47 lakini hadi leo nalikumbuka 🙌
Asikwambie mtu, kumbukumbu za mapenzi huwa hazifutiki kirahisi Mjukuu.Mzee wewe si umeshaanza kupoteza kumbukumbu kwa uzee? Ila hilo tukio husahau ama kweli mapenzi ni hatari.
Mwaka 47 hiyo 110 ilikuwa ndio gari ya kifahari sana?
Pole sana babu kumbe haya mambo yalikuwepo hadi kizazi cha mwaka 47? Nilidhani ni kwa hiki kizazi chetu cha azuma.Asikwambie mtu, kumbukumbu za mapenzi huwa hazifutiki kirahisi Mjukuu.
Yule jamaa alichangia Kwa kiasi kikubwa sana nijikite kwenye utafutaji.
Ogopa sana kuibiwa mchumba huku wewe mwenyewe ukishuhudia
Ile gari ilikuwa hot cake sana miaka ile.
Kumbuka miaka hiyo nilikuwa namiliki Baiskeli tu halafu jamaa yeye amepaki Land Rover 110, unadhani atabaki na mwenye Baiskeli ama ataenda na mwenye gari 🙌
Mjukuu haya mambo hayanaga muongozo 😜Pole sana babu kumbe haya mambo yalikuwepo hadi kizazi cha mwaka 47? Nilidhani ni kwa hiki kizazi chetu cha azuma.
😂 kwahiyo tufanyaje babu ili kuenda nayo sawa?Mjukuu haya mambo hayanaga muongozo 😜
Jitahidi akaunti iwe na sifuri kuanzia saba😂 kwahiyo tufanyaje babu ili kuenda nayo sawa?
😂 hata zikiwa zinaanza na 0.0000002?Jitahidi akaunti iwe na sifuri kuanzia saba
Ikiwa hivyo jiandae kukutwa na kile kisa changu cha Mwaka 47 😜😂 hata zikiwa zinaanza na 0.0000002?