Lomaa lolusa
Member
- May 15, 2017
- 30
- 45
- Thread starter
- #21
AsanteNenda Halmashauri ukaombe leseni ya biashara tu
Ikitokea Kuna mkwamo wa vibali n.k tafuta namna ya kusaidiwa hapo hapo Halmashauri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteNenda Halmashauri ukaombe leseni ya biashara tu
Ikitokea Kuna mkwamo wa vibali n.k tafuta namna ya kusaidiwa hapo hapo Halmashauri
Kila la heri MkuuAsante
😂 babu huko ni kutishana, maisha ni haya haya ila nitajitahidi zisome 7.Ikiwa hivyo jiandae kukutwa na kile kisa changu cha Mwaka 47 😜
Jambo la muhimu ni kuhakikisha hizo sifuri 7 zinakwepo ili ukiamua kwenda Maldives kuinjoi maisha unakwenda tu 🤗😂 babu huko ni kutishana, maisha ni haya haya ila nitajitahidi zisome 7.
Ntaenda na 1.5m?Jambo la muhimu ni kuhakikisha hizo sifuri 7 zinakwepo ili ukiamua kwenda Maldives kuinjoi maisha unakwenda tu 🤗
Tafuta 15M uende, hapo uhakika wa kulala hotel ya nyota 4 japo Siku 5 hivi na kampani ya watoto wazuri 😜Ntaenda na 1.5m?
15m siku 4? Bora nibaki tu huku umatopeni.Tafuta 15M uende, hapo uhakika wa kulala hotel ya nyota 4 japo Siku 5 hivi na kampani ya watoto wazuri 😜
Flight to and from na hizo expenses nyingine15m siku 4? Bora nibaki tu huku umatopeni.
Mtoa mada utakuwa umepata njia ya kuanzaMarahaba Mjukuu
Ili kujenga nyumba ya biashara (Lodge) kwanza ni lazima Kiwanja chako kiwe kimepimwa na kiwe kwenye upande wa Viwanja vya biashara ama Viwanja vya biashara na makazi n.k
Ni lazima uwe na kibali cha Ujenzi kutoka Halmashauri yako.
Kupata leseni ya biashara, unatakiwa uwe na TIN number pamoja na jina la hiyo biashara yako ambalo utaenda kulisajiri kwenye hiyo Halmashauri ambayo unaenda kuombea leseni.
Lakini ni lazima uwe na barua ya Mtaa/Kijiji (recommendation letter/introduction letter)
Pia utatakiwa kuwa na tax clearance form kutoka TRA
Ukishaomba utatakiwa kusubiri ndani ya Siku 7 hadi 14 hivi kuweza kupewa.
Jambo lingine la muhimu kabla hujaanza hiyo biashara hakikisha umepata ripoti ya ukaguzi kutoka Maafisa Afya/Mazingira/Kibali cha Zimamoto/Kibali cha OSHA n.k
Kila la heri kwenye Uwekezaji wa ndoto yako
Nadhani akiwiwa aje atoe mrejesho Siku Moja iwapo atafanikiwaMtoa mada utakuwa umepata njia ya kuanza
😂Kijana wako anajenga chini
Grahams
We mzee sio wa mwaka 47, naanza kupata mashaka 😅Flight to and from na hizo expenses nyingine
Mwili haunawiri Kwa kupigwa rangi za weather guard tu 😜
Uzee mwisho Chalinze, lazima tuswitch kuendana na nyakati 🤗We mzee sio wa mwaka 47, naanza kupata mashaka 😅
😂 sawa mzeeUzee mwisho Chalinze, lazima tuswitch kuendana na nyakati 🤗
Hivi kuna ubaya kubadilisha nyumba ya familia, kuwa lodge?Nenda Halmashauri ukaombe leseni ya biashara tu
Ikitokea Kuna mkwamo wa vibali n.k tafuta namna ya kusaidiwa hapo hapo Halmashauri
Nadhani hakuna shida, muhimu ufuate taratibu zote ikiwemo ya kuomba vibali HalmashauriHivi kuna ubaya kubadilisha nyumba ya familia, kuwa lodge?