Kwahiyo laki 5 ndio itazuia matapeli kama ana nia ya kufanya utapeli? Yes, wasomi wa Africa (kwa ujumla wake) kwasababu matendo yao yanafanana kiasi ya kushindwa kutatua changamoto zinazolikabili bara hilo. So far, ndilo bara pekee ambapo halijaonyesha vivid progress ya kumaliza umaskini licha ya rasilimali nyingi ilizo nazo. Yes, kila mtu ana wajibu wa kufanya jambo kutatua changamoto zinazowakabili wanajamii lakini (kwa maoni yangu), wasomi Wana wajibu zaidi so wao wanapokuja one directional policies, inakatisha tamaa kama Africa itatoboa.
Fanya assessments uone kama taasisi nyingi huko zina msaada wa kutatua changamoto za ajira, udokozi, makazi, masomo nk (kwa kasi inayotakiwa).
Mkubali ukweli mkiambiwa. Ni Africa ambako graduation inafanyika mwezi Novemba (mfano) then wahitimu wanaambiwa wachukue certificates January next year? Sasa msomi wa namna hii ana msaada gani kwenye jamii. Ni Africa mtoto akigongwa na gari katika highway, kesho unakuta matuta kama ya viazi. Infact, kuna mambo ya ajabu sana kutoka kwa "ze so called wasomi" kiasi mifano yake ikiwekwa hapa utajiuliza. No wonder akina Musukuma wanajipambanua kama wasomi zaidi kuliko nyie.
Folk, sina hicho unachoita gubu.