Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Ukiwaambia wasomi wanatuangusha wanakataa na kujitetea lakini wako busy kuhimiza vijana wajiajiri huku wakiweka startup environment ya kujiajiri kuwa ngumu sana. Mbaya zaidi, wala hawana mpango wa kubadilika. Haki ya Mungu, hatutoboi.Unashangaa hiyo boss
BOT kuna jamaa yangu ametaka kusajili biashara yake ni startup leseni bila kufanya chochote imegota 41M hii nchi ngumu sana na wanasema vijana mujiajiri
Hii nchi ngumu sanaUkiwaambia wasomi wanatuangusha wanakataa na kujitetea lakini wako busy kuhimiza vijana wajiajiri huku wakiweka startup environment ya kujiajiri kuwa ngumu sana. Mbaya zaidi, wala hawana mpango wa kubadilika. Haki ya Mungu, hatutoboi.
Hebu fafanua Mkuu, imegota 41 M, kivipi?Unashangaa hiyo boss
BOT kuna jamaa yangu ametaka kusajili biashara yake ni startup leseni bila kufanya chochote imegota 41M hii nchi ngumu sana na wanasema vijana mujiajiri
Payment system license 12MHebu fafanua Mkuu, imegota 41 M, kivipi?
Kuna biashara ni capital intensive na ukitaka kuifanta vyema lazima uwe na hela ya kutosha. Hii 41M nahisi itakuwa Internet Service Provider.Unashangaa hiyo boss
BOT kuna jamaa yangu ametaka kusajili biashara yake ni startup leseni bila kufanya chochote imegota 41M hii nchi ngumu sana na wanasema vijana mujiajiri
Kama hawapendi kuchunguza iwaje wamefahamu hayo?Kuna biashara ni capital intensive na ukitaka kuifanta vyema lazima uwe na hela ya kutosha. Hii 41M nahisi itakuwa Internet Service Provider.
Kumbuka kuna infrastructure serikali iliweka kuwezesha ISP ifanye kazi kiufanisi. Sasa wewe unataka wakuwekee leseni 100,000. Hiyo hela watarudisha lini?? Na je taasisi itajiendesh a vipi?
Tatizo wengi hampendi kuchunguza kwanini vitu vipo hivyo vilivyo
Kuna sekta ngapi ambazo zipo wazi kabisa kwa wazawa ila hakuna tunachokifanya?Kama hawapendi kuchunguza iwaje wamefahamu hayo?
Issue ya kampuni kujiendesha inajibiwa na soko? Suala ni kuweka mazingira wezeshi kwa wazawa hasa vijana walau wakiweka ...
Unapohitaji kuanzisha Microfinance na ili uweze kupata kibali cha kuendesha biashara yako kutoka BOT kitu cha kwanza cha msingi mtaji wako unatakiwa uanzie Tsh 20,000,000.Wakuu habari za sasa hivi...
Ni constant mtaji ni huo 20m kwa sole proprieter, micro loan, microfinance au micro credit.Hii 20,000M ni constant hata kama unafungua business name? Hata kama ni micro credit au microloan na si Microfinance ? Au ni kwa Microfinance pekeee hizi nyingine zina pungua capital yake
Hakuna sababu ya kusema mtaji. Nakizi vigezo kwa mjibu wa kima cha chini.
kwani hawa ndio wanaochukuaga kadi za benki za walimu?Sajili jina la biashara BRELA.
Kisha nenda TRAujikadirie kodi japo watataka kukukadiria ila pambana iwe kodi rafiki.
Tengeneza file na uweke vifuatavyo.
1. Tax clearance ya madirector, na ya kampuni.
2. Bank statements za madirectors.
3.certified academic copies za directors,
4.CV za directors humu mnaweka na referres ili bank waweze kuwa contact.
5.Memorandum ya kampuni na lending policy.
6.Passport size photo za directors sikumbuki kama mbili au nne.
7.Vitambulisho vya madirectors.
8.Lipia maombi ya leseni kwa kutumia TISS sh 500,000.
Nenda BOT peleka watapitia.
Maombi ni mengi mno watapitia na watakurekebisha kidogo kidogo mpaka utafanikiwa.
Usichoke jamaa wanarekebisha kidogo kidogo mpaka mwisho utafanikiwa kupata leseni.
Ukipata karibu tupambane na wadeni wetu mtaani.
I wish Mungu amuongoze jamaa akutumie wewe maana hatojutaUnapohitaji kuanzisha Microfinance na ili uweze kupata kibali cha kuendesha biashara yako kutoka BOT kitu cha kwanza cha msingi mtaji wako unatakiwa uanzie Tsh 20,000,000.
Vingine;
1. Ufanye usajili wa Kampuni au jina la biashara BRELA
2. Upate TIN na Tax Clearance
3. Uwe na Sera ya kukopeshea
4. Ada ya kibali ni Tsh 500,000 kea Kampuni na Tsh 300,000 kwa biashara binafsi.
N.k
Karibu sana kwa maelezo zaidi
Wasilana nasi kwa simu namba 0755 440 118View attachment 2041665
Kwenye kudai pesa yake usimpangie njia ya kudai.kwani hawa ndio wanaochukuaga kadi za benki za walimu?
lakini asivunje sheria pia[emoji52][emoji52]Kwenye kudai pesa yake usimpangie njia ya kudai.
Ilimradi hatukani na hapigi.
Ooooo yeah.lakini asivunje sheria pia[emoji52][emoji52]
Laki 5 ni pesa ndogo kwenye usajili wa finance institute. Basically, I think if you're worried kupoteza 500k kwenye registration ya microfinance, maybe, just maybe you aren't ready for that business.Ushamba wa kiafrika tu uliochanganyika na roho mbaya za asili. Utadhani wanaishi mwezini walioweka hayo masharti. Unaweka non refundable application fees ili iwe nini? Discouraging or revenue? Because I can be sure that administrative costs to review and issue a license cannot go that high. So why such cumbersome requirements with high costs?
Wasomi wa kiafrika ni bure kabisa. Hawana msaada wowote kwa wananchi wao. They tend to lump a lot of barriers/counterproductive policies to development pathways.
Kwani laki 5 ni kwa ajili ya nini? Kodi au ni kitu gani! Kama ni "kodi/levy" sawa ila kama ni 'administrative costs", that's relatively huge ili kuhamasisha microfinance.l,Laki 5 ni pesa ndogo kwenye usajili wa finance institute. Basically, I think if you're worried kupoteza 500k kwenye registration ya microfinance, maybe, just maybe you aren't ready for that business.
Loan management system zinauzwaje boss?.Sajili jina la biashala Brela, mfano twambombo microfinance or finance or credit or micro credit or micro loan na baada ya hapo tafuta ofisi ilio sehemu nzuli weka vifaa kama computer, tengeneza vitabu vya uhasibu aka ledger, vitabu vya risiti, makusanyo ya kila siku, mfumo wa madaraka ikiwezekana nunua system aka loan management system ya bei ndogo kwa kuanzia tafuta muhasibu manager maafisa mikopo wawili na teller mmoja wape mkataba wa miezi sita na baada ya hapo ingia katika website ya BOT google kitu kinaitwa MICROFINANCE SERVICE REGULATION ACT YA MWAKA 2018 ilioanza kufanya kazi mwaka 2020 mwezi wa kumi mpk sasa.
Zisome hizo sheria kanuni na taratibu zake na uzielewe na kuna fomu ya kujaza mwishoni ili kupata leseni ya microfinance lkn kwa uchache Uwe na minimum capital ya kuanzia twenty million iliobenk ambapo unapoenda kuomba leseni wataomba bank statement ili kujua kama hicho kiasi kipo lakini pia itatakiwa Uwe na non refundable fee au unaweza ita ada ya maombi ya reseni kiasi cha shillingi laki tano kiasi hicho ukikitoa huwa hakirudishwi iwapo umekosa vigezo vya kupata reseni.
Kwa uchache ni hayo tu kama utahitaji msaada wa kiufundi zaidi ikiwemo ushauli wa kuendesha taasisi hio ya kifedha basi njoo PM kwani mimi ni consultant wa masuala ya microfinance na banking industry usiogope njoo tuyajenge