Taratibu za kuingia Zambia

Taratibu za kuingia Zambia

Nakadori

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,778
Reaction score
21,010
Wakuu Salam kwenu.
Naomba kujua namna ninaweza kufika Lusaka Zambia.

Nauli hadi kufika, gharama za maisha na mambo mengine muhimu.

Pass imeexpire so nitahitaji emergency travelling documents, je ninaweza kuzipata pale uhamiaji mpakani?

Na kuhusu visa, je inahitajika au ni visa free? Na kama inahitajika je wanaitoa pale mpakani au lazima niiombe kabla kwenye ubalozi wao?

Nitashukuru kama mtanisaidia maana safari ni muda wowote kuanzia sasa.
 
Wakuu Salam kwenu.
Naomba kujua namna ninaweza kufika Lusaka Zambia.

Nauli hadi kufika, gharama za maisha na mambo mengine muhimu.

Pass imeexpire so nitahitaji emergency travelling documents, je ninaweza kuzipata pale uhamiaji mpakani?

Na kuhusu visa, je inahitajika au ni visa free? Na kama inahitajika je wanaitoa pale mpakani au lazima niiombe kabla kwenye ubalozi wao?

Nitashukuru kama mtanisaidia maana safari ni muda wowote kuanzia sasa.
Hello Nakodari,

Zambia ni nchi ambayo huitaji visa kuingia kwa raia wa Tanzania. Utagongewa entry permit pale mpakani ambapo unaweza pewa hadi 90 days.

Kuhusu passport ni vyema ukaomba katika ofisi za uhamiaji zilizopo karibu nawe na haichukui muda kuipata.

Kila la kheri.
 
Hello Nakodari,

Zambia ni nchi ambayo huitaji visa kuingia kwa raia wa Tanzania. Utagongewa entry permit pale mpakani ambapo unaweza pewa hadi 90 days.

Kuhusu passport ni vyema ukaomba katika ofisi za uhamiaji zilizopo karibu nawe na haichukui muda kuipata.

Kila la kheri.
Asante sana.
Ngoja nianze mchakatoo sema tu kale ka laki naaa ka pass mpya kanatoa watu jashoo
 
Asante sana.
Ngoja nianze mchakatoo sema tu kale ka laki naaa ka pass mpya kanatoa watu jashoo
Kuna ile pass ndogo ambayo kama una 50 elfu ya chapchap kishoka anakuletea hadi Nyumbani.

Mambo yamezidi kurahisishwa na Serikali yetu sikivu ya Bi Samia.
 
Wakuu Salam kwenu.
Naomba kujua namna ninaweza kufika Lusaka Zambia.

Nauli hadi kufika, gharama za maisha na mambo mengine muhimu.

Pass imeexpire so nitahitaji emergency travelling documents, je ninaweza kuzipata pale uhamiaji mpakani?

Na kuhusu visa, je inahitajika au ni visa free? Na kama inahitajika je wanaitoa pale mpakani au lazima niiombe kabla kwenye ubalozi wao?

Nitashukuru kama mtanisaidia maana safari ni muda wowote kuanzia sasa.
Sasa si uchukue pass tu? Ni ndani ya siku moja unayo mkononi.
Mengine utajibiwa na wengine.
 
Back
Top Bottom