Naomba msaada, Mimi nilifungua mgogoro CMA kwa kujaza form no1 na nikaainisha ktk form kwa kutiki makosa ambayo mwajiri alikuwa akinifanyia makosa yapatayo matatu ambayo yalinifanya niache Kazi kwa kulazimika, kosa la 1. Mwajiri alikataa kunilipa mshahara 2. Alianza kuninyanyasa baada yamimi kutoa vyeti vya ugonjwa ili nisiwe nafanya Kazi zaidi ya siku kuisha kwani alikuwa analazimisha mkimaliza kaz jion tuenderee kufanya masaa 2 zaidi mbere, lakini pia nililalamikia mwajiri kutokutekereza mashart ya mkataba, yote hayo niliyanot ktk form hiyohiyo, nanikajaza sehem ya partB , baada yahapo msuruhishi alibainisha kuwa mgogoro huo pa1 na mambo kuwa mengi utakuwa ni Termination , tulipoenda uamuzi muamuzi akasema form imekosewa kujazwa hivyo anashindwa kufream issue, japo hakukuwa na pingamizi upande wwte japo muamuzi alirekodi kuwa kunapingamizi upande wa pili nakunitaka nisaini jambo ambalo nililigomea kwakuwa hakukuwa na pingamizi, baadae akatoa uamuzi kuwa mgogoro umeletwa kimakosa hivyo baada ya kuwepo pingamizi hivyo anauondoa niupereke upya wakati mda wa siku 30 umeisha, naninajua nikipereka kwa maombi hataukubari maana mzungu amewaripa, Je Nifanyaje? Leo nisiku ya9 tangu uamuzi utoke nisaidieni.