Ahsante sana mkuu. Nipazima pia muwe na mradi unaoendelea wa kikundi??1. Inatakiwa msajili kikundi chenu kwa afisa maendeleo wa wilaya yenu.
2. Inatakiwa mfungue akaunti benki ambayo itatumika kuingiza mkopo wenu.
3. Mnatakiwa kuwa na kiasi cha fedha kwenye akaunti yenu kama elfu thelethini tu.
Mengine utayapata ukienda kwenye ofisi za maendeleo ya jamii.
Sent using Jamii Forums mobile app
ahsante sana mkuu. Nipazima pia muwe na mradi unaoendelea wa kikundi??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikundi kianzie watu wangapi?Lazima muwe na mradi..
WatanoKikundi kianzie watu wangapi?
Utaratibu wa sasa vikundi vya vijana na vile vya wanawake 10-15.Ila vya walemavu ni 5.Pia ukisajili kikundi sio lazima kupewa mkopo ila wataangalia shughuli wanazozifanya hao wanakikundi zinaleta tija ili mukipewa pesa irudi.NB pesa haina ribaWatano