Wanajamii wenzangu, hongereni na poleni kwa mapambano dhidi ya COVID-19.
Niende kwenye maada moja kwa moja. Tupo vijana kama watano ambao ni wajasiriamali wadogowadogo tuna mpango wa kufuatilia na kuomba mkopo wa Halmashari-Fungu la Vijana.
Naombeni ushauri tufuate taratibu gani au tuwe na vigezo vipi ili tuweze kupata huo mkopo? Au nini tufanye ili tupate kwa urahisi huo mkopo?
Tunaomba mwongozo ili tutanapoanza kufuatilia basi tusipate vikwazo vingi.
Natanguliza shukrani.
Niende kwenye maada moja kwa moja. Tupo vijana kama watano ambao ni wajasiriamali wadogowadogo tuna mpango wa kufuatilia na kuomba mkopo wa Halmashari-Fungu la Vijana.
Naombeni ushauri tufuate taratibu gani au tuwe na vigezo vipi ili tuweze kupata huo mkopo? Au nini tufanye ili tupate kwa urahisi huo mkopo?
Tunaomba mwongozo ili tutanapoanza kufuatilia basi tusipate vikwazo vingi.
Natanguliza shukrani.