Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Jana niliweka topic hapa inayohusu chanjo ya Hepatitis B. Maswali yamekuwa mengi PM na mimi muda wa kumjibu kila mtu sina wakuu.
Basi naomba niweke majibu hapa japo wenzangu watajazia. Hepatitis B ni ugonjwa wa virusi kama UKIMWI na unaambukizwa the same kama ngoma. Hauna tiba sema bahati nzuri una kinga, kinga ambayo ndo tunayohamasishana humu kwenda kupata.
Kwa ufupi
Kama upo Dar kwa urahisi zaidi nenda Ocean Road hospital. Utalipia elfu kumi kwa ajili ya kupata vipimo. Kumbuka hupewi chanjo kabla ya kupimwa kama una maambukizi ama lah!
Ukukutwa na maambukizi utapewa ARV, kama huna utalipia tena elfu kumi na utachomwa sindano ya kwanza ya chanjo na utapangiwa tarehe nyingine maana sindano ni tatu.
Hiyo process ni kama masaa mawili tu.
Kwa mikoa mingine naomba wadau wengine waseme then tutaupdate
Basi naomba niweke majibu hapa japo wenzangu watajazia. Hepatitis B ni ugonjwa wa virusi kama UKIMWI na unaambukizwa the same kama ngoma. Hauna tiba sema bahati nzuri una kinga, kinga ambayo ndo tunayohamasishana humu kwenda kupata.
Kwa ufupi
Kama upo Dar kwa urahisi zaidi nenda Ocean Road hospital. Utalipia elfu kumi kwa ajili ya kupata vipimo. Kumbuka hupewi chanjo kabla ya kupimwa kama una maambukizi ama lah!
Ukukutwa na maambukizi utapewa ARV, kama huna utalipia tena elfu kumi na utachomwa sindano ya kwanza ya chanjo na utapangiwa tarehe nyingine maana sindano ni tatu.
Hiyo process ni kama masaa mawili tu.
Kwa mikoa mingine naomba wadau wengine waseme then tutaupdate