Habar wana JF,
Naomba kufahamishwa taratibu za kuwa wakala wa bima.
---Kiwango cha chini cha mtaji(pesa) cha kuanzia,
---Taratibu za usajili wa biashara
---N.k
Habar wana JF,
Naomba kufahamishwa taratibu za kuwa wakala wa bima.
---Kiwango cha chini cha mtaji(pesa) cha kuanzia,
---Taratibu za usajili wa biashara
---N.k
Mkuu tembelea website ya taasisi hii: Tanzania Insurance Reguratory Authory (TIRA); www.tira.go.tz utapata taarifa zote juu ya taratibu na masharti ya kuwa wakala wa BIMA
Mkuu tembelea website ya taasisi hii: Tanzania Insurance Reguratory Authory (TIRA); www.tira.go.tz utapata taarifa zote juu ya taratibu na masharti ya kuwa wakala wa BIMA