Taratibu za mkopo CRDB

kindili kindili

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2013
Posts
242
Reaction score
54
Habari wanajamvi, Kwa anaejua mkopo CRDB ni vitu gani huhitajika? kwa mfanyakazi wa serikalini, maana nnapewa maelezo tofauti kila siku- niko kinondoni so ni kijitonyama branch, mwenye kusaidia hapa please.

Asanteni
 
sasa boss kama kila siku unapewa maelezo yanayotofautiana si uende tu hapo bank mara moja upate uhakika wa issue yako!!
 
Habari wanajamvi, Kwa anaejua mkopo CRDB ni vitu gani huhitajika? kwa mfanyakazi wa serikalini, maana nnapewa maelezo tofauti kila siku- niko kinondoni so ni kijitonyama branch, mwenye kusaidia hapa please.

Asanteni


Kaulize direct mkuu......kama unataka mkopo mkubwa nenda pale premium kuna jamaa moja anaitwa ISAYA LYMO atakusaidia sema anapenda rushwa balaa....ukichukua lazima umwachie zaidi ya asilimia 20.......natafuta watu wa PCCB nimkamatishe huyu jamaa.....
 
sasa boss kama kila siku unapewa maelezo yanayotofautiana si uende tu hapo bank mara moja upate uhakika wa issue yako!!
ndio huko huko benki mkuu..mara ya kwanza mtu wa mikopo alisema pay inslip 6 zinahitajika ikiwemo ya mwezi wa nane (huo ulikua wa tisa) ..nimekamilisha kufika pale leo anataka na ya mwezi wa tisa ambayo mwanzo hakusema na kwangu si rahisi kuipata,ntaipata mwisho wa mwezi huu na ninahitaji huo mkopo urgent, nishausubili sana.
 
hahhaha ni zaidi ya noma kwahiyo kama nataka mil 10 naacha mil 2...duh Tanzania zaidi ya uijuavyo, ...
 
kaulize direct mkuu......kama unataka mkopo mkubwa nenda pale premium kuna jamaa moja anaitwa isaya lymo atakusaidia sema anapenda rushwa balaa....ukichukua lazima umwachie zaidi ya asilimia 20.......natafuta watu wa pccb nimkamatishe huyu jamaa.....

chuki binafsi
 
sasa mkuu kama upendi rushwa mbona unamuelekeza mwenzio amfate tukueleweje na atakaye kubali kutoa hela yote hiyo hajielewi kbs mkopo ni biashara sio msaada.
 
Kaulize direct mkuu......kama unataka mkopo mkubwa nenda pale premium kuna jamaa moja anaitwa ISAYA LYMO atakusaidia sema anapenda rushwa balaa....ukichukua lazima umwachie zaidi ya asilimia 20.......natafuta watu wa PCCB nimkamatishe huyu jamaa.....

alafu ana dhalau balaa, alinijibu kwa nyodo utafikiri yeye hajawahi kuwa na shida.
 
Habari wanajamvi, Kwa anaejua mkopo CRDB ni vitu gani huhitajika? kwa mfanyakazi wa serikalini, maana nnapewa maelezo tofauti kila siku- niko kinondoni so ni kijitonyama branch, mwenye kusaidia hapa please.

Asanteni

Unapewa majibu tofauti na nani? Umeshaenda benki kwenyewe au ndo haya mambo yako ya kuulizia kwenye mitandao? Nenda direct kwenye benki kwenyewe idara ya mikopo watakupa maelekezo yote! Hapa mitandaoni hutapata majibu ya kuridhisha, mwishowe tutakukatisha tamaa tu!! Au unapata majibu tofauti kwa vile unaomba makopo na siyo mkopo! Aha ha ha haaaa! Just kidding!!
 
Mr----umesma comment lakin..nimekwambia nimekwenda bank na hayo majibu na maelezo nisiyoyaelewa nimepewa benki, usiwe mvivu wa kusoma kama unataka kuchangia- just kidding
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…