kindili kindili
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 242
- 54
Habari wanajamvi, Kwa anaejua mkopo CRDB ni vitu gani huhitajika? kwa mfanyakazi wa serikalini, maana nnapewa maelezo tofauti kila siku- niko kinondoni so ni kijitonyama branch, mwenye kusaidia hapa please.
Asanteni
Asanteni