Taratibu za msingi za kuanzisha Bureau de change

super nova

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
1,479
Reaction score
1,097
Habari za jioni wana jamvi, ningependa kuuliza kwa yeyote mwenye kufahamu taratibu mahsusi na hata za jumla katika uanzishwaji wa soko la kubadilisha fedha. Nistashukuru nikifahamu ni nyaraka gani zinahitajika, taratibu za usajili benki kuu na nipite wapi mpaka nifanikishe. Pia nikipata link yenye kutoa maarifa zaidi kwa muktadha wa kitanzania juu ya uanzishwaji huo nitashukuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…