Shukrani Mkuuukishapigiwa simu maana yake umeshinda nenda ofisi ya PMU wakupe barua ya intention of award. pamoja na mazungumzo mengine kama yapo. kule nest wanweza kuchelewa kuweka. Zingatia haya ili uweze kupata au kushinda Tender mbalimbali
Mkuu maandishi haya ni somo kubwa san kwetu kwa sisi tunaojitafuta kwenye hizi small startups zetu , Be blessed .Kiukweli hakuna jinsi tumia hela upate hela
Mimi mwenyewe hizi kazi za tenda ndizo zinaniweka mjini kwa kiasi fulani lakini sioni shida kumwelekeza mtu kisha vingine afanye mwenyewe.
Power of Attoney we hawa jamaa watafutie tu hela yao lakini bado pia wanatoa huduma hii kwa nafuu na wakati mwingine wanaweza kuamua kukusaidia bure kabisa si wakazaji kivile japo wakisimamia shoo wanaweza kukupiga kwa asilimia ya tenda lakini wengi hawako hivyo.
kuna kazi zingine zinahitaji bank gurantee nyingine unafanya ila uzoefu unaonyesha benki ni kazi kukukopesha moja kwa moja kwaajiri ya tenda vinginevyo unamtaji tayari na upo katika soko la bidhaa husika kwa muda mrefu lakini mwisho wa yote ni kwa jinsi gani unaweza kujenga ushawishi kwa benki husika ikiwa ni pamoja una uhakika wa biashara na kulipwa mapema.
asante Karibu.Mkuu maandishi haya ni somo kubwa san kwetu kwa sisi tunaojitafuta kwenye hizi small startups zetu , Be blessed .
Power of attorney mbona ni rahisi sana mkuu, elfu kumi tu iandae then mpe mwanasheria akupigiee muhuri . Ukiwa na changamoto yoyote ya kujaza au kuandaa hizo tender docs nicheki nisimamie show, hata ukitaka nikafanye Lobb ili upate baadhi ya tender kwenye baadhi ya taasisi ndio mishe zangu hizo boss.Asante mkuu,
Naomba Pia unieleweshe kuhusu,
1. Kuhusu tender za manunuzi,
Ndio naanza, Sina mtaji pesa, Je bank wanaweza simamia show kwa mshindi Wa tenda then malipo yapitie kwao ili wajimegee na kinachobaki nikaishinacho?
2. Notorized attorney power, hiki kipengele nacho sijakielewa vizuri.
Mengi Sana mkuu natamani kuyafahamu Ila Kila ninapogusa kuulizia naambiwa nilipie maelekezo, Sasa Sina pesa
Umetisha Sana Mkuu,Power of attorney mbona ni rahisi sana mkuu, elfu kumi tu iandae then mpe mwanasheria akupigiee muhuri . Ukiwa na changamoto yoyote ya kujaza au kuandaa hizo tender docs nicheki nisimamie show, hata ukitaka nikafanye Lobb ili upate baadhi ya tender kwenye baadhi ya taasisi ndio mishe zangu hizo boss.
Malipo baada ya kazi
Nashukuru kwa Uzi huu sitoki mtupu,Twende Pamoja
Kama utapass na kuwin Tender inabidi Usign mkataba wa kazi husika na ukishakuwa na mkataba unaweza kwenda Bank na kuutumia kupata Mkopo japo Bank zinatkfautiana utaratibu ila unaweza kuanza na ivo alafu utajua utaratibu wa Bank husika.Asante mkuu,
Naomba Pia unieleweshe kuhusu,
1. Kuhusu tender za manunuzi,
Ndio naanza, Sina mtaji pesa, Je bank wanaweza simamia show kwa mshindi Wa tenda then malipo yapitie kwao ili wajimegee na kinachobaki nikaishinacho?
2. Notorized attorney power, hiki kipengele nacho sijakielewa vizuri.
Mengi Sana mkuu natamani kuyafahamu Ila Kila ninapogusa kuulizia naambiwa nilipie maelekezo, Sasa Sina pesa
Wasiliana na PMU mara nyingine mfumo unachelewesha mamboUPDATE:
Leo nimepigiwa simu muda wa saa nne asubuhi na nimeambiwa nimeshinda tender ambayo niliomba, ila Sasa toka mda huo sijaona update yeyote kwenye Mfumo (NEST)
Je, niendelee kutulia nikisubiri update za kwenye Mfumo au hatua hii na kuendelea Mfumo hauhusiki?
Karibu sana.Umetisha Sana Mkuu,
Wewe tutaenda sawa, nitakucheki tufanye kazi
Nitakutafuta mkuu tuyajenge.Power of attorney mbona ni rahisi sana mkuu, elfu kumi tu iandae then mpe mwanasheria akupigiee muhuri . Ukiwa na changamoto yoyote ya kujaza au kuandaa hizo tender docs nicheki nisimamie show, hata ukitaka nikafanye Lobb ili upate baadhi ya tender kwenye baadhi ya taasisi ndio mishe zangu hizo boss.
Malipo baada ya kazi
Kirefu cha PMU ni nn? Ofisi zao zipo wapi?Wasiliana na PMU mara nyingine mfumo unachelewesha mambo
ofisi za ununuzi &Ugavi - Procurement Management UnitKirefu cha PMU ni nn? Ofisi zao zipo wapi?
Ofisi ya Manunuzi ya Taasisi husika.Kirefu cha PMU ni nn? Ofisi zao zipo wapi?
Poa karibu mkuuNitakutafuta mkuu tuyajenge.
ukenda kwenye hiyo taasisi uliyoomba hiyo tender uliza Procument Unit au ofisi za manunuzi watakuonyesha. Ukifika elezea tru watakwambia anni anahusika na hiyo OrderKirefu cha PMU ni nn? Ofisi zao zipo wapi?