Taratibu za Tender

Mkuu maandishi haya ni somo kubwa san kwetu kwa sisi tunaojitafuta kwenye hizi small startups zetu , Be blessed .
 
Mkuu maandishi haya ni somo kubwa san kwetu kwa sisi tunaojitafuta kwenye hizi small startups zetu , Be blessed .
asante Karibu.
Sio kila kitu unaweza kufanya lakini inawezekana unayo jinsi gani kinaweza kufanyika hivyo nafikiri ni vizuri ukawapa wengine ili nao wafanye ili hata ikitokea ukifa wakikatika kwenye kaburi lako wasione ni kaburi lililohifadhi mifupa mitupu bali waweze kujenga tafakari ya nini ulifanya kwao.
kwa pamoja tunaweza kufanikiwa.
 
Power of attorney mbona ni rahisi sana mkuu, elfu kumi tu iandae then mpe mwanasheria akupigiee muhuri . Ukiwa na changamoto yoyote ya kujaza au kuandaa hizo tender docs nicheki nisimamie show, hata ukitaka nikafanye Lobb ili upate baadhi ya tender kwenye baadhi ya taasisi ndio mishe zangu hizo boss.

Malipo baada ya kazi
 
Umetisha Sana Mkuu,
Wewe tutaenda sawa, nitakucheki tufanye kazi
 
UPDATE :
Baada ya kupigiwa simu kuwa nimepata tender, nikaambiwa niwatumie Performance Securing Declaration, nikaingia website ya PPRA Nika saka sample ya hiyo doc, nikaipata, nikaedit, nikawatumia.
Wakaniambia leo atanitumia mkataba, nipo nasubir mkataba Sasa.

(Kwenye Mfumo wa Nest tayari wameniwekea Intention letter pamoja na Award letter)

Ahsante Sana kwa wote Munaoendelea kunipa Muongozo hadi pale nitakapo kabidhi hii kazi.
🙏🙏
 
Kama utapass na kuwin Tender inabidi Usign mkataba wa kazi husika na ukishakuwa na mkataba unaweza kwenda Bank na kuutumia kupata Mkopo japo Bank zinatkfautiana utaratibu ila unaweza kuanza na ivo alafu utajua utaratibu wa Bank husika.

Notorized power of Attorney hii nguvu au wajibu anaopewa Mhusika wa kampuni katika mkataba husika kama kusign Documents zote za mkataba, kufanya negotion za bei za huo.mkataba, kuhudhuria vikao kuhusu huo mkataba kwa kiufupi huyo anayepewa iyo POA ndio anakuwa signatory wa huo mkataba na sio mwingine
 
Wasiliana na PMU mara nyingine mfumo unachelewesha mambo
 
Tuna group letu la kupeana uzoefu mambo ya tender wadau , mimi ni mmoja wapo wa niliefanya hizi issue sana tu . kuna wazoefu pia zaidi tunapeana moja mbili tatu, kama utapenda kushiriki nasi utupe mawazo ni PM nikupe link
 
Nitakutafuta mkuu tuyajenge.
 
Kirefu cha PMU ni nn? Ofisi zao zipo wapi?
ukenda kwenye hiyo taasisi uliyoomba hiyo tender uliza Procument Unit au ofisi za manunuzi watakuonyesha. Ukifika elezea tru watakwambia anni anahusika na hiyo Order
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…