Cavill
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 379
- 1,284
Watoto wadogo hawanaga uvumilivu kabisa linapokuja swala la njaa, kibaya zaidi akiwa na Hela mfukoni akili yake yote inahamia Nje ya darasa.
Lakini Mkuu hata nyie kwenye maofisi yenu huko Kuna tozo zisizo rasmi nyingi tu.. Wape watoto Hela hayo mandazi hayawezi kumtajirisha Mwalimu kiasi Cha Kuja kumfungulia Uzi hapa
Lakini Mkuu hata nyie kwenye maofisi yenu huko Kuna tozo zisizo rasmi nyingi tu.. Wape watoto Hela hayo mandazi hayawezi kumtajirisha Mwalimu kiasi Cha Kuja kumfungulia Uzi hapa