Ngoja aje Kaimu Katibu Mkuu TAMISEMI Mpwayungu Village atoe ufafanuz(hapa natania tu). Kiukweli kuna nyuzi nyingi humu watu walitoa kuashauri walimu wajaribu kujiwekezea katika biashara zingiine na ndio maana leo kuna walimu wanamiliki bodaboda,siku za wekeend anapiga kazi ya bodaboda,ila la kuuza maandazi darasani hii inaonesha ni jinsi gani walivyochokwalimu
Sawa mkuu ila hujanielewesha miongozo na kama hujui kama Mimi Kaa Kwa kutulia tusubiri wenye kujua watufahamisheAcha ubahili wewe, wape wanao hiyo 200 wakale maandazi
Miongozo ni ya hao walimu kuifahamu ,wewe toa hela ya maandazi wanao wasiwe ombaomba.Sawa mkuu ila hujanielewesha miongozo na kama hujui kama Mimi Kaa Kwa kutulia tusubiri wenye kujua watufahamishe
Kuna ubaya kutaka kufahamishwa sera za Elimu ikiwa Mimi ni mdau pia wa sekta hiyo ?Watoto wadogo hawanaga uvumilivu kabisa linapokuja swala la njaa, kibaya zaidi akiwa na Hela mfukoni akili yake yote inahamia Nje ya darasa.
Lakini Mkuu hata nyie kwenye maofisi yenu huko Kuna tozo zisizo rasmi nyingi tu.. Wape watoto Hela hayo mandazi hayawezi kumtajirisha Mwalimu kiasi Cha Kuja kumfungulia Uzi hapa
Nina uhakika kabisa ninakuzidi uwezo wa kufikiri kaa ujue hivyo tuSikupingi unachokifikiri , maana najua uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo
Huna Cha kushauri Kaa kimya si lazima uchangie
Haya ni matunda ya kuongozwa na CCM na hii tabia haijanza leo. Ni ya siku nyingi kabisa. Na kama hujui, wameenda mbali zaidi na kufanya hao hao wanafunzi ndiyo wauzaji wao. Yaani kama ni maandazi, basi mwalimu anamkabidhi mwanafunzi mmoja awe ndiyo muuzaji wake.Habari za asubuhi wanajamvi,
Samahani naomba kujuzwa ikiwa kanuni na taratibu za utumishi wa umma zinaruhusu Kwa waalimu kufanya biashara darasani Kwa wanafunzi anaowafundisha?
Kwa ufupi ni kwamba kuna shule moja ipo mkoani Morogoro, wilaya ya Morogoro DC ambapo mwezi January niliwahamishia wanangu wakitokea Mkoani Rukwa tulikokua tukiishi.
Tangu wameanza shule hapo kumekua na mabadiliko kidogo ya kitabia kwa wanangu, wamekua na tabia ya kuomba sana pesa asubuhi wanapotoka kwenda shule kitu ambacho hawakua nacho mwanzo na usipowapa wanakosa amani kabisa.
Sasa katika kufuatilia nini chanzo cha mabadiliko hayo kitabia nikagundua kuwa Kuna mwalimu wa chekechekea anauza maandazi na vitu vingine humo darasani Tena anaweka juu ya meza pale ndo anapendelea kufundisha huku anauza tena kwa kupromote biashara yake.
Sasa hili limenifikirisha nimeona nililete hapa tulijadili Kwa pamoja πππ
Ndani ya uzi wako yapo malalamiko pia,Uko sahihi mkuu lakini nafikiri kwanza ungetofautisha kulalamika na kuuliza ,
Hakuna mahli nimelalamika hapo Bali niliuliza kutaka kujua tu kama ni sahihi au si sahihi
Kamba ya Mwalimu inafika darasani au haifiki? Hilo ndiyo la kujiuliza.Habari za asubuhi wanajamvi,
Samahani naomba kujuzwa ikiwa kanuni na taratibu za utumishi wa umma zinaruhusu Kwa waalimu kufanya biashara darasani Kwa wanafunzi anaowafundisha?
Kwa ufupi ni kwamba kuna shule moja ipo mkoani Morogoro, wilaya ya Morogoro DC ambapo mwezi January niliwahamishia wanangu wakitokea Mkoani Rukwa tulikokua tukiishi.
Tangu wameanza shule hapo kumekua na mabadiliko kidogo ya kitabia kwa wanangu, wamekua na tabia ya kuomba sana pesa asubuhi wanapotoka kwenda shule kitu ambacho hawakua nacho mwanzo na usipowapa wanakosa amani kabisa.
Sasa katika kufuatilia nini chanzo cha mabadiliko hayo kitabia nikagundua kuwa Kuna mwalimu wa chekechekea anauza maandazi na vitu vingine humo darasani Tena anaweka juu ya meza pale ndo anapendelea kufundisha huku anauza tena kwa kupromote biashara yake.
Sasa hili limenifikirisha nimeona nililete hapa tulijadili Kwa pamoja πππ
Mdau wa hiyo sekta alafu hujui sera zake?Kuna ubaya kutaka kufahamishwa sera za Elimu ikiwa Mimi ni mdau pia wa sekta hiyo ?
Je muongozo ya hapo kazini kwenu imesema unatakiwa kuwa mtandaoni muda huu, mbona upo mtandaoni.Maisha ni pesa najua na nilazima pesa itumike Ili maisha yaende but my point ni kutaka kuelewa miongozo inasemaje kuhusu Hilo
Unaonyesha ni jinsi Gani ulivyomkulupukaji , wapi nimeandika kuwa ninakuzidi katika uwezo wa kufikiri?Nina uhakika kabisa ninakuzidi uwezo wa kufikiri kaa ujue hivyo tu
Anza kwanza kuuliza kwa nn Mawaziri, wabunge, makatibu wakuu na viongozi wengine waandamizi wanafanya biashara na serikali ikiwa taratibu haziruhu, ukipata jibu uendelee na hilo la walimu!!Samahani naomba kujuzwa ikiwa kanuni na taratibu za utumishi wa umma zinaruhusu Kwa waalimu kufanya biashara darasani Kwa wanafunzi anaowafundisha?
Mimi nafikiri mwalimu amejiongeza na kuamua kuwafundisha watoto ujasiriamali kitu ambacho watoto wetu hawafundishwi lakini cha muhimu sana hasa wakati huu ambapo ukosefu wa AJIRA RASMI ni mkubwa mno. Heko mwalimu badala ya kuwafundisha watoto kuhesabu miguu ya jongoo, kuchora panzi ,kuchinja vyura nk umeamua kuwafundisha ujasiriamali kwa vitendo. Pia ndugu yangu acha ubahili wape watoto pesa kidogo, tena waweza kuwapa ya wiki nzima uone jinsi wanavyoweza kutunza fedha.Habari za asubuhi wanajamvi,
Samahani naomba kujuzwa ikiwa kanuni na taratibu za utumishi wa umma zinaruhusu Kwa waalimu kufanya biashara darasani Kwa wanafunzi anaowafundisha?
Kwa ufupi ni kwamba kuna shule moja ipo mkoani Morogoro, wilaya ya Morogoro DC ambapo mwezi January niliwahamishia wanangu wakitokea Mkoani Rukwa tulikokua tukiishi.
Tangu wameanza shule hapo kumekua na mabadiliko kidogo ya kitabia kwa wanangu, wamekua na tabia ya kuomba sana pesa asubuhi wanapotoka kwenda shule kitu ambacho hawakua nacho mwanzo na usipowapa wanakosa amani kabisa.
Sasa katika kufuatilia nini chanzo cha mabadiliko hayo kitabia nikagundua kuwa Kuna mwalimu wa chekechekea anauza maandazi na vitu vingine humo darasani Tena anaweka juu ya meza pale ndo anapendelea kufundisha huku anauza tena kwa kupromote biashara yake.
Sasa hili limenifikirisha nimeona nililete hapa tulijadili Kwa pamoja πππ
π₯±π₯±π₯±Mimi nafikiri mwalimua amejiongeza na kuamua kuwafundisha watoto ujasiriamali kitu ambacho watoto wetu hawafundishwi lakini cha muhimu sana hasa wakati huu ambapo ukosefu wa AJIRA RASMI ni mkubwa mno. Heko mwalimu badala ya kuwafundisha watoto kuhesabu miguu ya jongoo, kuchora panzi ,kuchinja vyura nk umeamua kuwafundisha ujasiriamali kwa vitendo.
....kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake...Blaza unataka walimu wakale kwenye siasa? Au kanisani? Imeandikwa Kila mtu ale madhabauni kwake
Aah mkuu vitu vingine vinashangaza,ndo maana anaambiwa huu ukweli. Shkamoo wewe hapo lakini, mzima? Umeolewa?Hahaa sio kwa majibu haya, mtasababisha mtu akimbie uzi wake
Hapana, wamejibu kwa uhalisia wa maisha ya mTz hasa mwalimuSi rahisi kuukimbia Uzi , lengo lilikua ni kutakua kuelewa miongozo inasemaje lakini nilichogundua wote waliojibu hapo hawajui miongozo Bali wamejibu tu Kwa mihemko