Sawa mwenye akili za kitajiriAcheni roho mbaya mwalimu ana familia.
Wape watoto wako Hela wasome wakiwa wameshiba.
Unalalamikia mwalimu kwa shibe ya mwanao. Unresponsible father.
Kwanza sidhani hata mia Tano inazidi kununua vi Maandazi na na maji.
Akili za kimasikini
Subiri matajiri wa Jf waje,kwani mwanao hasomi Feza schools?Habari za asubuhi wanajamvi,
Samahani naomba kujuzwa ikiwa kanuni na taratibu za utumishi wa umma zinaruhusu Kwa waalimu kufanya biashara darasani Kwa wanafunzi anaowafundisha?
Kwa ufupi ni kwamba kuna shule moja ipo mkoani Morogoro, wilaya ya Morogoro DC ambapo mwezi January niliwahamishia wanangu wakitokea Mkoani Rukwa tulikokua tukiishi.
Tangu wameanza shule hapo kumekua na mabadiliko kidogo ya kitabia kwa wanangu, wamekua na tabia ya kuomba sana pesa asubuhi wanapotoka kwenda shule kitu ambacho hawakua nacho mwanzo na usipowapa wanakosa amani kabisa.
Sasa katika kufuatilia nini chanzo cha mabadiliko hayo kitabia nikagundua kuwa Kuna mwalimu wa chekechekea anauza maandazi na vitu vingine humo darasani Tena anaweka juu ya meza pale ndo anapendelea kufundisha huku anauza tena kwa kupromote biashara yake.
Sasa hili limenifikirisha nimeona nililete hapa tulijadili Kwa pamoja 🙏🙏🙏
Jf 90% ni walimu,njaa tupuSi rahisi kuukimbia Uzi , lengo lilikua ni kutakua kuelewa miongozo inasemaje lakini nilichogundua wote waliojibu hapo hawajui miongozo Bali wamejibu tu Kwa mihemko
Kuna ubaya kutaka kufahamishwa sera za Elimu ikiwa Mimi ni mdau pia wa sekta hiyo ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna cha kujadili hapo Mkuu. Wape watoto hela au waambie hela za kuwapa huna ila make room ya kuwapa breakfast kabla hawajaenda shule. Watoto ni waelewa na wasikivu, unavyomlea ndo anavyokuwa akiyashika hayo. Walimu wanafanya hivyo kuokoa maisha yao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]CCM haijawapandisha walimu madaraja wala haitaki kuwapa posho unategemea nini? Waache walimu wapambanie familia zao,kwani wana hali ngumu sana.Wape watoto 200 waende nayo shule,hakuna shule bila visheti, maandazi, vibama etc
Suala sio muongozo,maisha bro,hakuna mwalimu anayetaka kubeba deli la icecram ubuyu au maandazi kwenda nalo shule kuuza, mbona kwenye wizara na taasisi watu ahwaendi navyo, maokoto mzee wangu ,mwalimu hana hata semina, labda apate kanafasi ka kwenda kusahihisha mitihani, nayo kwa nadra,kwa mwaka mara moja,.Si rahisi kuukimbia Uzi , lengo lilikua ni kutakua kuelewa miongozo inasemaje lakini nilichogundua wote waliojibu hapo hawajui miongozo Bali wamejibu tu Kwa mihemko
Sasa Kuna shida gani ukiwapa wanao pesa wakanunua mandazi wakalaHabari za asubuhi wanajamvi,
Samahani naomba kujuzwa ikiwa kanuni na taratibu za utumishi wa umma zinaruhusu Kwa waalimu kufanya biashara darasani Kwa wanafunzi anaowafundisha?
Kwa ufupi ni kwamba kuna shule moja ipo mkoani Morogoro, wilaya ya Morogoro DC ambapo mwezi January niliwahamishia wanangu wakitokea Mkoani Rukwa tulikokua tukiishi.
Tangu wameanza shule hapo kumekua na mabadiliko kidogo ya kitabia kwa wanangu, wamekua na tabia ya kuomba sana pesa asubuhi wanapotoka kwenda shule kitu ambacho hawakua nacho mwanzo na usipowapa wanakosa amani kabisa.
Sasa katika kufuatilia nini chanzo cha mabadiliko hayo kitabia nikagundua kuwa Kuna mwalimu wa chekechekea anauza maandazi na vitu vingine humo darasani Tena anaweka juu ya meza pale ndo anapendelea kufundisha huku anauza tena kwa kupromote biashara yake.
Sasa hili limenifikirisha nimeona nililete hapa tulijadili Kwa pamoja 🙏🙏🙏
Mkuu unaishi mbele ya muda?Miaka ya 3000s mama aliweza kupata faida ya elfu ishirini per day kutoka katika hizi biashara.
Sawa mkuuHakuna ubaya Mkuu, ila hata wew kwenye sehemu yako ya riziki hua Kuna mipigo na hua una mind sana mtu akitaka kukuharibia..
Mkuu si kwamba wanaotoa majibu hapa hawaelewi unachosimamia, ila ndo tulipofikia hapa.. kama Mwalimu angekua na maslahi Mazuri angewekeza kwenye miradi Mikubwa ila ndo watumishi wanaoongoza Kwa mikopo na madeni huko kitaa.
Si kwamba huelewi.. unafaham fika unachouliza sema hoja yako imekaa KINAFIKI sana.
neno ni helaToa ela ww!
WanaruhusiwaSasa hili limenifikirisha nimeona nililete hapa tulijadili Kwa pamoja
Dah! Niwie Radhi Mkuu kama nimekukwaza, ila ndo tulipofikia hapo. Tanzania ya Sasa kikubwa usiwe na Fujo za kuumiza tu ila kama una vurugu zinazokuwezesha kupata chochote bila kuumiza saaana wengine usiogope. Ndo tunachojifunza kutoka Kwa viongozi wetu wa ngazi za juu.Sawa mkuu
Akawarudishe wanawe kwa bibi yao Rukwa kule wakale makande asubuhi, pengine maandazi hajazoea.Achana na kuwaza vya sera sijui nini wape watoto hela za maandazi mkuu. Usitafute sympathy kwetu.
Sasa wewe pima tu, kama huna mia mia za kuwapa asubuhi warudishe mpanda wakasome huko wakae na bibi yao we kaa morogoro