KANYEGELO
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,238
- 4,885
Ndugu zangu habari za jioni?
Naomba ushauri wa kisheria mdogo wangu anayenifata amefariki alikiwa ni mtumishi wa serikali wilaya x, jana mida ya jion siku 4, baada ya mazishi nimepigiwa simu. Na wafanyakazi wa MABOTO COMPANY, kuwa marehemu alikopa fedha, sasa wanataka msimamizi wa mirathi awasaidoe kurejesha yaani kulipa deni.
Nilibishana nao sana, nikiwa na ufahamu mdogo kuwa mkopo unapotolewa huwa unakuwa na bima ya majanga, endapo muhusika akifariki, akiacha kazi basi bima hiweza kufidia. Na kuwaambia kuwa mirathi ni kwa ajili ya watoto wa marehemu na wazazi wa marehemu na sio kulipa madeni.
Madeni yote kwa mujibu wa sheria ya mkopo ya B. O. T, yatalipwa na kufidiwa na bima ya mkopo, na mdhamini ni mkurugenzi mtendaji na sio vinginevyo. wakaanza ooh unajua kiubinadamu tunatakiwa tukae tuliangalie kwa chochote kile mfidie.
Je kwa hili limekaaje?
Naomba Muongozo.
Maana naona hapa kuna uhuni unataka kufanyika
Naomba ushauri wa kisheria mdogo wangu anayenifata amefariki alikiwa ni mtumishi wa serikali wilaya x, jana mida ya jion siku 4, baada ya mazishi nimepigiwa simu. Na wafanyakazi wa MABOTO COMPANY, kuwa marehemu alikopa fedha, sasa wanataka msimamizi wa mirathi awasaidoe kurejesha yaani kulipa deni.
Nilibishana nao sana, nikiwa na ufahamu mdogo kuwa mkopo unapotolewa huwa unakuwa na bima ya majanga, endapo muhusika akifariki, akiacha kazi basi bima hiweza kufidia. Na kuwaambia kuwa mirathi ni kwa ajili ya watoto wa marehemu na wazazi wa marehemu na sio kulipa madeni.
Madeni yote kwa mujibu wa sheria ya mkopo ya B. O. T, yatalipwa na kufidiwa na bima ya mkopo, na mdhamini ni mkurugenzi mtendaji na sio vinginevyo. wakaanza ooh unajua kiubinadamu tunatakiwa tukae tuliangalie kwa chochote kile mfidie.
Je kwa hili limekaaje?
Naomba Muongozo.
Maana naona hapa kuna uhuni unataka kufanyika