wakuu, tumepitia huko kakuna la msingi mtakalopata zaidi ya siasa au kuwaambia muappeal, la msingi hudhurieni lakini pia angalieni nyanja nyengine zitakazoweza wasaidia nanyi kupata ada, nimepitia huko na sasa namaliza chuo ni ngumu ila ndo halihalisi, yahitaji uvumilivu ndo nchi yetu hiyo wakuu.