Siku ya jana tarehe 10.10. 2010 mimi na my wife wangu kipenzi Jack tulikuwa tunatimiza miaka 3 ya ndoa yetu.Pamoja na mawimbi ya hapa na pale mungu ametufikisha hapa. What a wonderful wife and mother you are Jack??? Kwa kupitia JF napenda kumwambia mke wangu kwa kweli nakupenda sana wewe na mwanetu Nancy " Kadadaa"..Najua my wife huwa anapita pita humu..
Hongera sana Sajenti ..Post yako imeni touch sana nakutakia maisha mema ya ndoa ..upendo na amani katika family yako
yetu imefika ngapi FL1
nimekumiss longy
FL1 bado hajaolewa! Labda umuulize miaka mingapi ya kipaimara!
Naomba nijumuike nanyi wapendwa binafsi jana nilikuwa natimiza miaka 31
napenda kuwashukuru nyie wake zetu kwa kutfikisha hapa tulipo kwa kweli wengine tulikuWA Tunaelekea pabaya kama si neema ya mungu kutuinua na kutuifadhi na ndoa zetu tusingekuwa hapa tulipo....thanx ma mom n dady thnx ma wife n ma baby kwa kunifanya nizidi kuwahi kurudi nyumban fmr job Godbless u faith
oooooh sana mkuu kwa mapenzi ya ndoa nawahi haraka nikiwa single home saa sita saba kwa nini nisiwashukuru mkuu
Hongera sana Sajenti ..Post yako imeni touch sana nakutakia maisha mema ya ndoa ..upendo na amani katika family yako
Siku ya jana tarehe 10.10. 2010 mimi na my wife wangu kipenzi Jack tulikuwa tunatimiza miaka 3 ya ndoa yetu.Pamoja na mawimbi ya hapa na pale mungu ametufikisha hapa. What a wonderful wife and mother you are Jack??? Kwa kupitia JF napenda kumwambia mke wangu kwa kweli nakupenda sana wewe na mwanetu Nancy " Kadadaa"..Najua my wife huwa anapita pita humu..
Nimekupata sana honey, mwaaaaah. Later.