Tarehe 10.10.2010 - Thank you my lovely wife Jackline....

Tarehe 10.10.2010 - Thank you my lovely wife Jackline....

Hongera sana mkuu....Bado kama aka saba hivi ufikie nilipofiki 4/10/2010!

Kila la kheri...jihadhari usifumaniwe!
Du....!
Hii ni hatari sana!:A S wink:
Infedels bana!
Usiwasikize Broda!
 
naona una :tonguez: hii kitu😛reggers:😛reggers:

(Smiles hujambo? kinamna nilikumiss asee!)

Sssssshhhhhhh.........
That line's too long....I can read the signs!!! :becky::becky: (nahisi kama nilikumiss pia.....:thinking:
 
Sssssshhhhhhh.........
That line's too long....I can read the signs!!! :becky::becky: (nahisi kama nilikumiss pia.....:thinking:
Upendeleo huu! Anyway rule namba 3 na iheshimiwe na watu wote!
 
Hongera sana Sajenti ..Post yako imeni touch sana nakutakia maisha mema ya ndoa ..upendo na amani katika family yako
..FL1 unajua jana tulikuwa tuko mahali fulani na Jack nikahisi kama machozi yanataka kunitoka. Ukweli ni kwamba mungu akikujalia kupata mke wa kweli kuna raha yake kabisa...nashukuru sana!!
 
Sssssshhhhhhh.........
That line's too long....I can read the signs!!! :becky::becky: (nahisi kama nilikumiss pia.....:thinking:


ORAIT..next tyme I will make it short....while the quality remains the same...eeh?
 
..FL1 unajua jana tulikuwa tuko mahali fulani na Jack nikahisi kama machozi yanataka kunitoka. Ukweli ni kwamba mungu akikujalia kupata mke wa kweli kuna raha yake kabisa...nashukuru sana!!


Hamjawahi kukosana wala kuchapana makonde?
 
ORAIT..next tyme I will make it short....while the quality remains the same...eeh?
Thats where, and only where, you qualify to represent JZ in the URT- JF section!
 
Back
Top Bottom