Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
mdogo mdogo Smiles according to Asprin eeh......now...LETS GO
Ewaaaaaa! Good! ODM is watching! Mwendo kasi unaua! Mdogo mdogo hommie! Go!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mdogo mdogo Smiles according to Asprin eeh......now...LETS GO
..Dina. Kiukweli kabisa Jack nilimpa hili neno uso kwa uso kwa busu kubwa kabisa jana kiasi hata "kadadaa" akabaki ameduwaa yaani we acha tu:tonguez::tonguez:Jamani inapendeza sana kama utam-mwagia maneno haya uso kwa uso, sasa huku JF asipopita pita ndio basi tena?
Anyways, sista kama ukipitia huku hongera mwayego...
mdogo mdogo Smiles according to Asprin eeh......now...LETS GO
..Dina. Kiukweli kabisa Jack nilimpa hili neno uso kwa uso kwa busu kubwa kabisa jana kiasi hata "kadadaa" akabaki ameduwaa yaani we acha tu:tonguez::tonguez:
Plan B?Ukirudi unitaarifu....got another mission..
Siku ya jana tarehe 10.10. 2010 mimi na my wife wangu kipenzi Jack tulikuwa tunatimiza miaka 3 ya ndoa yetu.Pamoja na mawimbi ya hapa na pale mungu ametufikisha hapa. What a wonderful wife and mother you are Jack??? Kwa kupitia JF napenda kumwambia mke wangu kwa kweli nakupenda sana wewe na mwanetu Nancy " Kadadaa"..Najua my wife huwa anapita pita humu..
Go where...???
Plan B?
..fl1 unajua jana tulikuwa tuko mahali fulani na jack nikahisi kama machozi yanataka kunitoka. Ukweli ni kwamba mungu akikujalia kupata mke wa kweli kuna raha yake kabisa...nashukuru sana!!
"kadadaa". their first daughter....
Go where...???
Hbari yako bana pole na hangover na starehe za siku mbili zilizopita
kadadaa = Jack? Orait!
aaaaa yyuko FRESHIIII
hahahah Hommie mama Matesha ndo BINTI yako wa kwanza au vipi..kisha ndo matesha...ORAIT...
Ok....nimeamua kuwapotezea>>Asprin, Kaizer, Roya Roy, The finest kwa muda....
Nisamehe Finest.....hello and Goodbye for now!
Concentration inapungua....ngoja nitekeleze majukumu kwanza....
Ahaaaaa! Asavali!Ok....nimeamua kuwapotezea>>Asprin, Kaizer, Roya Roy, The finest kwa muda....
Nisamehe Finest.....hello and Goodbye for now!
Concentration inapungua....ngoja nitekeleze majukumu kwanza....