Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Heshima kwenu wanajamvi.
Mimi Ngongo pamoja na Katibu wangu tarehe 17/11/2022 nitaongoza Ibada ya maombezi kuombea mvua inyeshe sehemu kubwa ya JMT.
Hapatakuwa na sadaka ya kuteketezwa wala sadaka kama zile za Mwamposa, Kakobe, Mzee wa Upako aka Bapa.
Baada ya maombezi mazito natarajia tarehe 18/11//2022 majibu mtayaona wenyewe.
Ngongo kwasasa ktk maandalizi mazito ya kuombea mvua.
Mimi Ngongo pamoja na Katibu wangu tarehe 17/11/2022 nitaongoza Ibada ya maombezi kuombea mvua inyeshe sehemu kubwa ya JMT.
Hapatakuwa na sadaka ya kuteketezwa wala sadaka kama zile za Mwamposa, Kakobe, Mzee wa Upako aka Bapa.
Baada ya maombezi mazito natarajia tarehe 18/11//2022 majibu mtayaona wenyewe.
Ngongo kwasasa ktk maandalizi mazito ya kuombea mvua.