Naomba niweke wazi yaliyojaza moyo wangu!
SIKUFURAHISHWA na Kauli za Mkulu ,sipo alipoongea na wachezaji wa Timu ya Taifa!Kwangu zile zilikuwa ni kauli za kukatisha tamaa!
Kwa hatua hiyo mimi na wenzangu wapenda demokrasia tutashangilia Lethoto ili tupigwe hadi tuone wachezaji wetu wakitapika 50M!
SOKA NI SAYANSI, SI VITISHO!
Go,go Lethoto
SIKUFURAHISHWA na Kauli za Mkulu ,sipo alipoongea na wachezaji wa Timu ya Taifa!Kwangu zile zilikuwa ni kauli za kukatisha tamaa!
Kwa hatua hiyo mimi na wenzangu wapenda demokrasia tutashangilia Lethoto ili tupigwe hadi tuone wachezaji wetu wakitapika 50M!
SOKA NI SAYANSI, SI VITISHO!
Go,go Lethoto