Tarehe 23 ya NSSF inavyonipa presha na kuniweka roho juu. Niombeeni please!

Tarehe 23 ya NSSF inavyonipa presha na kuniweka roho juu. Niombeeni please!

Tanki

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
538
Reaction score
246
Jumamosi tarehe 24 natakiwa nisafiri niende MOROGORO / TURIANI kumalizia msiba wa mzazi wangu. Then bado kuna vitu havijakaa sawa. Then sina kazi kwa sasa. Sasa, baada ya kufuatilia mafao yangu ya NSSF (Fao la kutokuwa na ajira kwasasa) tarehe ambayo NSSF walinipangia kwamba nitakuwa nimepata pesa zangu ni tarehe 23, yaani siku tatu tu zimebaki. Na tegemeo langu lote lipo kwenye hiyo hela ya NSSF.

Kwenye app ya NSSF tangu wiki iliyopita nikiangalia Salio kwasasa unasoma ZERO, wakati hapo awali pesa ilikuwa inasoma. Na nikiangalia michango yangu nayo tangu wiki iliyopita itaonyesha ZERO ZERO, (No data available) ila pesa nikiangalia kwenye bank NMB hakuna pesa.

Wakuu, hapa naiwaza hiyo tarehe 23 siku tatu kutoka leo, je hiyo hela itaingia? Maana nimeshafuatiria sana. Mara jina lilikuwa na herufi tofauti, mara tarehe ya kuzaliwa zilipishana, nilifuatilia na kukamilisha vyote hivyo.

Maombi yenu waku, maana hiyo tarehe wasiponiwekea hiyo hela aisee aisee aisee sipati picha.
 
Jumamosi tarehe 24 natakiwa nisafiri niende MOROGORO / TULIANI kumalizia msiba wa mzazi wangu. Then bado Kuna vitu havijakaa sawa. Then Sina kazi Kwa sasa. Sasa, baada ya kufuatilia mafao yangu ya NSSF ...
Kwan pesa wanatoa zote kwa mkupuo
Si nasikia ni 33% ya ulichokua unalipwa
 
Ukiona hivyo mzigo chungulia baada ya masaa 24,ngomaa inasoma,case close.unapata hiyo pesaa kabla ya hiyo tarehe angalia kesho jioni....nilivyo kutia moyo ikiingia nitumie 10000 ya konyagi kubwa.amini transaction ishafanyika
 
Ukiona hivyo mzigo chungulia baada ya masaa 24,ngomaa inasoma,case close.unapata hiyo pesaa kabla ya hiyo tarehe angalia kesho jioni....nilivyo kutia moyo ikiingia nitumie 10000 ya konyagi kubwa.amini transaction ishafanyika
Aisee konyagi ilichonifanya juzi..nimeapa sitokunywa hiyo kitu tena..
 
Jumamosi tarehe 24 natakiwa nisafiri niende MOROGORO / TULIANI kumalizia msiba wa mzazi wangu. Then bado Kuna vitu havijakaa sawa. Then Sina kazi Kwa sasa. Sasa, baada ya kufuatilia mafao yangu ya NSSF ( Fao la kutokuwa na ajira kwasasa ) tarehe ambayo NSSF walinipangia kwamba nitakuwa nimepata pesa zangu ni tarehe 23, yaani siku tatu tu zimebaki. Na tegemeo langu lote lipo kwenye hiyo hela ya NSSF.

Kwenye app ya NSSF tangu wiki iliyopita nikiangalia Salio kwasasa unasoma ZERO, wakati hapo awali pesa ilikuwa inasoma. Na nikiangalia michango yangu nayo tangu wiki iliyopita itaonyesha ZERO ZERO, ( No data available ) ila pesa nikiangalia kwenye bank NMB hakuna pesa.

Wakuu, hapa naiwaza hiyo tarehe 23 siku tatu kutoka Leo, je hiyo hela itaingia?, maana nimeshafuatiria sana. Mara jina lilikuwa na herufi tofauti, mara tarehe ya kuzaliwa zilipishana, nilifuatilia na kukamilisha vyote hivyo.

Maombi yenu waku, maana hiyo tarehe wasiponiwekea hiyo hela aisee aisee aisee sipati picha.
Nenda sehemu imeandikwa claims kwenye hiyo app yao,kuna sehemu imeandikwa status,chungulia hapo kujua status ya malipo yako ilikofikia.
 
Jumamosi tarehe 24 natakiwa nisafiri niende MOROGORO / TURIANI kumalizia msiba wa mzazi wangu. Then bado kuna vitu havijakaa sawa. Then sina kazi kwa sasa. Sasa, baada ya kufuatilia mafao yangu ya NSSF (Fao la kutokuwa na ajira kwasasa) tarehe ambayo NSSF walinipangia kwamba nitakuwa nimepata pesa zangu ni tarehe 23, yaani siku tatu tu zimebaki. Na tegemeo langu lote lipo kwenye hiyo hela ya NSSF.

Kwenye app ya NSSF tangu wiki iliyopita nikiangalia Salio kwasasa unasoma ZERO, wakati hapo awali pesa ilikuwa inasoma. Na nikiangalia michango yangu nayo tangu wiki iliyopita itaonyesha ZERO ZERO, (No data available) ila pesa nikiangalia kwenye bank NMB hakuna pesa.

Wakuu, hapa naiwaza hiyo tarehe 23 siku tatu kutoka leo, je hiyo hela itaingia? Maana nimeshafuatiria sana. Mara jina lilikuwa na herufi tofauti, mara tarehe ya kuzaliwa zilipishana, nilifuatilia na kukamilisha vyote hivyo.

Maombi yenu waku, maana hiyo tarehe wasiponiwekea hiyo hela aisee aisee aisee sipati picha.
Vipi mkuu umeshalipwa
 
Back
Top Bottom